Msaada Sm kuzima na kuwaka

Msaada Sm kuzima na kuwaka

MAGARA

Senior Member
Joined
Jun 6, 2015
Posts
152
Reaction score
61
Habari zenu wana jf.
Najua humu kuna wataalamu wa sm.

Mimi kisim changu kina zima na kuwaka ghafla pindi niitumiapo naitumia,
Ikisha zima huanza mwanzo
Nime restore Mara nyingi mno
Lakini wapi.

Pia Nina Huawei nayo huniandikia Android has stopped.
Sm has stopped
Hii inatokana na nini!?
Na nifanyeje?
 
Habari zenu wana jf.
Najua humu kuna wataalamu wa sm.

Mimi kisim changu kina zima na kuwaka ghafla pindi niitumiapo naitumia,
Ikisha zima huanza mwanzo
Nime restore Mara nyingi mno
Lakini wapi.

Pia Nina Huawei nayo huniandikia Android has stopped.
Sm has stopped
Hii inatokana na nini!?
Na nifanyeje?
Asante sana mdau kwa kuuliza swali hili...Nina tatizo sawa na lako nadhani tutapata msaada hapa.
 
Yangu pia ina tabia hizo ila mi nafanya tu backup and reset inakaa sawa, pia akikisha huajazaapps nyingi kwenye phone memory. Unaweza pia enda kwenye app hiyo via setting ukadelete cache na apdates na restart simu ikigoma fanya reset hata zaidi ya mara1
 
Weka Cm Yako Ndani Ya Ndo Ya Maji Kwa Mda Wa Dakika Tano Hivi, Kisha Itoe Kwani Tatizo La Kuzima Na Kuwaka Ltakua Limekwisha Kabsa Na Simu Yako Itafanya Kazi Moja Tu Ya Kuwaka Au Kuzima Na Siyo Multifuctions. Jaribu Sasa
 
Weka Cm Yako Ndani Ya Ndo Ya Maji Kwa Mda Wa Dakika Tano Hivi, Kisha Itoe Kwani Tatizo La Kuzima Na Kuwaka Ltakua Limekwisha Kabsa Na Simu Yako Itafanya Kazi Moja Tu Ya Kuwaka Au Kuzima Na Siyo Multifuctions. Jaribu Sasa

Du!! wewe unaweza pondwa na laana ya mtu
Hujui kama unamkera mtu
 
Habari zenu wana jf.
Najua humu kuna wataalamu wa sm.

Mimi kisim changu kina zima na kuwaka ghafla pindi niitumiapo naitumia,
Ikisha zima huanza mwanzo
Nime restore Mara nyingi mno
Lakini wapi.

Pia Nina Huawei nayo huniandikia Android has stopped.
Sm has stopped
Hii inatokana na nini!?
Na nifanyeje?
Simu yako ni aina gani? Uwe unataja full model inakua rahisi kukusaidia
 
Hiyo simu ni moja au ni simu mbili tofauti, kumbuka kusema jina la simu na model yake utapata msaada kwa haraka zaidi.
 
Back
Top Bottom