dem boyz
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 7,340
- 16,908
mstari wa pambizo huo,andika tarehe ufanye kazi ya mwalimuWakuu msaada ,simu aina ya samsung s21 imetoa mistari kwenye kioo
mstari wa pambizo huo,andika tarehe ufanye kazi ya mwalimuWakuu msaada ,simu aina ya samsung s21 imetoa mistari kwenye kioo
Sema naona wachina washa anza kufyatua Vioo feki vyake, yuan 255 naviona kama laki ndio vimetoka, soon tutaanza kuvipata chini ya laki.Ni kweli natumia Sony Experia 5 mark 11 green line iko tayari
Sio mbaya mkuu OP 11 kwa hio bei, japo oneplus camera zake sio top level ila still itazipita midrange zote za hio price point.Mkuu nimeona mtu anauza one plus 11 Kwa 900k ina storage ya 512 ila ni used vipi hpo panafaa??
Ama wewe nahitaji unishauri simu gani Kwa budget ya M1 iwe used ama mpya ila iko na FLAGSHIP CAMERA na GOOD BATTERY LIFE na storage walau 512 GB
Nb. Samsung sihitaji kabisa wala iPhone.
Na vipi kuhusuSio mbaya mkuu OP 11 kwa hio bei, japo oneplus camera zake sio top level ila still itazipita midrange zote za hio price point.
Tatizo green Line issue bado ipo kwa hio simu, ila matengenezo yake ni bure sababu oneplus wenyewe wame admit, issue inakuja hutapata wakala wa kutengeneza hapa itabidi upeleke nchi ilionunuliwa kama India, Usa etc.
Sema naona wachina washa anza kufyatua Vioo feki vyake, yuan 255 naviona kama laki ndio vimetoka, soon tutaanza kuvipata chini ya laki.
Hio simu naikubali sana.
Chukua Redmi Note 13 Pro.Na vipi kuhusu
Any suggestions Kwa milioni 1 used phone Kwa hvyo vigezo?
Kwa milioni 1 unapata Xiaomi 14TChukua Redmi Note 13 Pro.
Acha ushamba
Yaani ujue kuna watu washozoea kupigwa basi wanafikir kila mtu, hyo note 13 pro mpya sudhani kma inafika 800kKwa milioni 1 unapata Xiaomi 14T
Redmi Note 13 Pro kwa bei hiyo sio worth it