platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
Mkuu hii ni pesa ya Zimbabwe au ya wapi hii!?
Hahahaa mkono umeteleza!! Ni Tshs.20,000 tu
Mkuu hii ni pesa ya Zimbabwe au ya wapi hii!?
hii elaa kweli ya zimbabwe sa we nawe utaenda kareoke bilaa kuwa na mtu pembeni?777 ni kudanga tu
Masaki.hii samaki samaki ni ya wapi?
Haahhaahhaahh!!Hivi Kibo Lounge pia kuna karaoke?! Sijaja siku nyingi huko ila kuna uhaba wa totoz pale!
umeanza.......Mkuu samahani. We ni ke au me?
Club Next Door napo ipo? Elements,Wantashi?Next door
shukrani niggaCoco beach-jtano
Escape one-alhamisi
777-ijumaa
Samaki samaki-jtano
Escape one hamna kitu pale, imebaki jina na mikele tuBabra hassani kila siku ametangaza n escape one humsikiagi? Siku sijajua ni lini...ahhhaaaaa Babraaaa akitangaza lazima ataje maneno kama sauna,pizza,burger,mishkaki ya samak,escape one . ... Sasa njoo umuone sura na umbo vitu viwili tofauti kwl Mungu wa ajabu....
Tripple 7Leo vipi?