Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,125
- 2,449
Wakuu,
Naombeni msaada wanaojua sehemu nzuri za "KARAOKE" na live band hapa jijini, itakua poa mtu akisema mahali na siku, sana sana "karaoke" mana nahisi wkend hii itaanza mapema na najisikia kuimba imba tu.
Wale watakaoshauri kanisani asanteni sana ila kila kitu kina nafasi yake ya kaisari tunampa kaisari.
Tujuzane wakuu, natanguliza shukrani.
Naombeni msaada wanaojua sehemu nzuri za "KARAOKE" na live band hapa jijini, itakua poa mtu akisema mahali na siku, sana sana "karaoke" mana nahisi wkend hii itaanza mapema na najisikia kuimba imba tu.
Wale watakaoshauri kanisani asanteni sana ila kila kitu kina nafasi yake ya kaisari tunampa kaisari.
Tujuzane wakuu, natanguliza shukrani.