Msaada please. Nimeagiza Gari kutoka Singapore

Msaada please. Nimeagiza Gari kutoka Singapore

Ila nimegundua Kiingereza ni janga hata kwa ma-mtu yanayojifanya kukijua! Hellow gentleman and ladies (hiki hakiko sawa kwa kweli). Muwe mnaandika Kiswahilii tu namna hii mnajivua nguo!
 
Magari ya Singapore bei nzuri na quality ya hali ya juu. Yana higher specs kuliko ya soko la Japan.

I agree kuna mtu aliagiza gari km20000 kutoka huko was really nice car..singapore ndio habari ya mjini kama mafuta ya ubuyu kipindi kile na falsafa ya unene
 
Kuna rafiki yangu aliagiza Gari Singapore....mbona linamsumbua hivi mpaka anajuta!
 
Mkuu jiandae kufanyiwa kitu kinaitwa Destination Inspection(DI),hii ni baada ya kujaza form ya DI ambayo agent wako ataichukua TBS.kuna gharama za kulipia DI ikiwamo Inspection fee, sio hela nyingi sana.Kujiridhusha fika ofisi za TBS pale posta jengo la Diplomatic house
 
Mkuu jiandae kufanyiwa kitu kinaitwa Destination Inspection(DI),hii ni baada ya kujaza form ya DI ambayo agent wako ataichukua TBS.kuna gharama za kulipia DI ikiwamo Inspection fee, sio hela nyingi sana.Kujiridhusha fika ofisi za TBS pale posta jengo la Diplomatic house
Asante sana broo. Tayari Ajent ameshachukua hiyo form Leo na kuijaza tunasubiria watupe invoice ili tuwalipe ndugu ,nadhani kesho itatoka boss .
 
Magari ya Singapore bei nzuri na quality ya hali ya juu. Yana higher specs kuliko ya soko la Japan.
Kuna jamaa wanajiita trust company limited au japanesevehicles.com wenyewe magari yao ni quality unlike beforward sema tatizo lao ni kua magari yao yana bei kubwa kiasi...
 
Haswaaa mimi nimenunua mark x Singapore mwezi wa 8 na inspection nimefanyia pale chuo cha usafirishaji ongea na agent wako ila utatakiwa kulipia km 344000tsh za ukaguzi TBS na kama gari yako itakutwa na kasoro flani utapewa mwezi mmoja kurekebisha halaf upeleke tena TBS... ila zingatia unapopeleka usibandike plate number
 
Back
Top Bottom