Hakuna niko kijijiHakuna fundi eneo hiloo
yawezekana shida ni clutch hapo...ukivuta inakua bado ipo engauged...ni km kuweka gia bila clutch wakati wa kuondoka lazima itazimaWakuu nisaidie nina pikipiki ya san lg nilinunua kwa mtu(used) kila nikiwasha inawaka ila kila ninapoingiza gia namba moja au mbili inazima msaada nini tatizo