Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,689
- 39,755
hey,bro hata me nina modem ya E173 airtel kama vipi naomba nisaidie hiyo software coz nahitaji kutumia lyn zote
Only voda mkuu, hio software haiwork kwa airtel
hey,bro hata me nina modem ya E173 airtel kama vipi naomba nisaidie hiyo software coz nahitaji kutumia lyn zote
Unlock Code yako ni 35891313
Na flash code yako ni 61157886
Kama ni modem E173 ya voda weka line ya mtandao mwingine ikileta option ya unlock code weka 35891313
bingwa yangu imekataa kabisa... hata kupdate firmware inakataa ku search
Modem ya voda haihitaji ku update firmware unless una airtel
bingwa yangu imekataa kabisa... hata kupdate firmware inakataa ku search
usiiunlock ndugu yangu voda internet ni noma hakuana anaeifikia kwa spidi it is the best then ni cheap pia
Huwezi ku-update firmware wakati hujafunga hiyo Dashboard, Quit dashboard (hiyo software ya Modem yako) kisha ndo uisearch
chief-mkwawa kwa hapa Voda wametisha, shida hiyo 20,000 kwa mwezi duh!shilingi 6.25 kwa kila mb kwa bundle ya airtel mb400 kwa sh 2500,
Shilingi 4 kwa kila mb kwa bundle ya voda ya gb5 kwa elf 20.
Voda rocks
serio inabidi niingie chimbo kwanza kujua kwa nini?mkuu... inasearch, nikisha weka pin code,.. ina goma
imei 8600016014006964tupia imei ya modem yako hapa nikupe unlock code sasa hivi
imei 8600016014006964
Mkuu ni kweli -hii ipo vizuriWrong IMEI!
Mkuu ni kweli -hii ipo vizuri
IMEI 860016014006964
mkuu na hii jeTupia IMEI ya Modem yako hapa nikupe Unlock Code sasa hivi
mkuu na hii je
IMEI:359592035715997