2in1
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 211
- 79
Habari ,
Wakuu ipo hivi "nataka nifanye biashara ya pikipiki(bodaboda) kwa mkataba yani nampa dereva pikipiki awe ananiletea sh 10000 kwa kila siku then baada ya mwaka mmoja inakua yake, hapo gharama za matengenezo mbalimbali pamoja na sevices zinakua juu yake yeye.Kwa hiyo kwa hizo siku 365 za mwaka nategemea kupata kiasi cha shil mil 3.5"
Sasa wakuu mimi ni mgeni kwenye haya mambo yani sina idea yoyote juu ya hii mikataba inavyokua so nimeamua niwaletee ndugu zangu humu JF munipe hints mbalimbali kama format ya mkataba na pia mambo muhimu ambayo yanatakiwa yawepo ndani ya huo mkataba pia vitu vya kuzingatia wakati wa kuandika na mahali pa kuandikishiana mkataba.
Thanks;
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu ipo hivi "nataka nifanye biashara ya pikipiki(bodaboda) kwa mkataba yani nampa dereva pikipiki awe ananiletea sh 10000 kwa kila siku then baada ya mwaka mmoja inakua yake, hapo gharama za matengenezo mbalimbali pamoja na sevices zinakua juu yake yeye.Kwa hiyo kwa hizo siku 365 za mwaka nategemea kupata kiasi cha shil mil 3.5"
Sasa wakuu mimi ni mgeni kwenye haya mambo yani sina idea yoyote juu ya hii mikataba inavyokua so nimeamua niwaletee ndugu zangu humu JF munipe hints mbalimbali kama format ya mkataba na pia mambo muhimu ambayo yanatakiwa yawepo ndani ya huo mkataba pia vitu vya kuzingatia wakati wa kuandika na mahali pa kuandikishiana mkataba.
Thanks;
Sent using Jamii Forums mobile app