Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Mimi hizo situmiiGospel mi sijui.. labda zile za yo yo
Mimi hizo situmiiGospel mi sijui.. labda zile za yo yo
nimejua baada ya kuamua kufanya utafiti na mbinu niliyokuwa na itumia ni kuwapiga watu chabo😂😂😂😂lazima nikuulize umejuaje na wangap umewabaka
"Kunalile swali la unataka kufanya Nini🤷
Mimi mtu nisipomkubali,hata aipange mistari vipi atajichosha tuNgoja nianze kukupangia mistari MTAKATIFU Anne![]()












naaam siwajua leo ni mwisho wa wikiKumbe ni ya kuchangamsha jukwaa hii
kumwaga hela kwenyewe pia huwa kuna hitaji strategy stong otherwise waweza kuishia kuchunwa tu kama mbuzi wa kipaimaranimejua baada ya kuamua kufanya utafiti na mbinu niliyokuwa na itumia ni kuwapiga watu chabo
Mimi mtu nisipomkubali,hata aipange mistari vipi atajichosha tu
Mfundisheni mwenzenu basi jamani![]()
Tafuta pesa!!
Virgin at 40Acha uoga aise... Ngoja nikuite Castr akupe hints
Tutafanyaje sasa mpenzi..??
😃😃😃 kuna movie inajina hilo. ..yule actor kavurugwa sanaVirgin at 40
Hahahah vijana wengi wanakula ugoro Kuna mmoja aliweka akajinyea nilishanga hii stori wenzake walileta kwenye kijiwe chetu cha kusoma magazeti nikajiuliza nimechanism gani ya nguvu ya ajabu namna hiyo.WEKA UGORO KWENYE DOMO HILO UTAONGEA MWENYEWE
Hahaha mule hamna kitu😃😃😃 kuna movie inajina hilo. ..yule actor kavurugwa sana
Nakuchomolea na mashairi yakoAu unataka nikutokee na mashairi?![]()




Ufanye mpango uanze kutunga hizoTutafanyaje sasa mpenzi..??
Tena wewe na mashairi yako ya bongo fleva nakuchomolea mchana kweupeUzuri kwangu huruki viunzi..![]()


Nakuchomolea na mashairi yako
Labda uje na mashairi ya Biblia
unasema tu hadharani hapa lol! Nikikuvizia kichochoroni hata nguvu ya kuchomoa utakuwa huna bali kubaki kurembua tu. Haya BAK nimekubali ombi lako
![]()






