Tuttie
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,265
- 1,306
😂😂😂Ni sadaka tu mkuukumwaga hela kwenyewe pia huwa kuna hitaji strategy stong otherwise waweza kuishia kuchunwa tu kama mbuzi wa kipaimara
Et mbuzi ya kipaimara😄😄
😂😂😂Ni sadaka tu mkuukumwaga hela kwenyewe pia huwa kuna hitaji strategy stong otherwise waweza kuishia kuchunwa tu kama mbuzi wa kipaimara
nimejua baada ya kuamua kufanya utafiti na mbinu niliyokuwa na itumia ni kuwapiga watu chabo
Tena vichochoroni ndio kabisa,ukija na vifungu vya maandiko kidogo nitaelewa.
Huo ujasiri sijui unautoa wapi maana mimi huwa Niko siriazi halafu si muongeaji..Hadi mtu kuongea na Mimi anajiuliza Mara mbilimbili.
Nakutolea njeVichochoroni ndiyo raha uso kwa uso hata kuniangalia usoni huwezi
au utanitolea “Nipe muda nifikirie ombi lako?”



Nakutolea nje
Kwanza unanikuta kichochoro gani na wakati mimi si mzururaji kabisa![]()
Nyie wawili nyie😶Kile cha jirani na kanisani 😂😂😂😂
Umegundua nini ninong'oneze basiNyie wawili nyie![]()
Haha ha sadaka !!? Wakati mtoaji lengo lake ni kutoa ili alipwe papuchiNi sadaka tu mkuu
Et mbuzi ya kipaimara![]()
Hivi utapata ujasiri wa kuongea na mimi?Kile cha jirani na kanisani![]()
















na kwel naona mnapangana tuSie waarabu wa Pemba.....😂😂😂😂😂
Mimi naota?He he he! Labda unaota..











Sina usemi Tena amani ya bwana iamue ndani yenu😄😄🙌
Hahahah vijana wengi wanakula ugoro Kuna mmoja aliweka akajinyea nilishanga hii stori wenzake walileta kwenye kijiwe chetu cha kusoma magazeti nikajiuliza nimechanism gani ya nguvu ya ajabu namna hiyo.
Kuna comments zinachekesha aki ya NaniNipe namba yake....








