Msaada: Nina udomo zege usiopimika

Msaada: Nina udomo zege usiopimika

kumwaga hela kwenyewe pia huwa kuna hitaji strategy stong otherwise waweza kuishia kuchunwa tu kama mbuzi wa kipaimara
😂😂😂Ni sadaka tu mkuu
Et mbuzi ya kipaimara😄😄
 
😂😂😂😂Vichochoroni ndiyo raha uso kwa uso hata kuniangalia usoni huwezi 😜😜😜au utanitolea “Nipe muda nifikirie ombi lako?”


Tena vichochoroni ndio kabisa,ukija na vifungu vya maandiko kidogo nitaelewa.
Huo ujasiri sijui unautoa wapi maana mimi huwa Niko siriazi halafu si muongeaji..Hadi mtu kuongea na Mimi anajiuliza Mara mbilimbili.
 
Vichochoroni ndiyo raha uso kwa uso hata kuniangalia usoni huwezi au utanitolea “Nipe muda nifikirie ombi lako?”
Nakutolea nje
Kwanza unanikuta kichochoro gani na wakati mimi si mzururaji kabisa
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Nunua Vitz mkabidhi funguo, haina haja ya kufungua hata macho
 
Dogo ni kwamba bado hujawa mwanaume, siku ukiwa mwanaume utajikuta umeshabwabwaja mtongozo nonstop.....
 
Back
Top Bottom