KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,794
- 86,552
- Thread starter
- #21
Kuna tofauti kati ya fujo za ana kwa ana na zile za kujificha mkuu..Hii mbona ni kahawa Mimi nimeistukia kitambo
Mtoa mada huwa ana bishana huko na huko katika majukwaa mbali mbali halafu hapa ana jifanya domo zege
Waweza kukuta Pm yake imejaa ..mpaka uwanja wa kuandikia text hakuna
We huoni hata yule anaejiita kigogo anavyoisumbua cherikali.. lkn si kajificha..😅

