Msaada: Nina udomo zege usiopimika

Msaada: Nina udomo zege usiopimika

Mimi naota?[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
Yaani unikute na lile gauni la Yesu ni mwamba afu wewe uanze shusha bongoflava unadhani nitakusikiliza!?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha! Halafu nimekumbuka..

Vipi msurubisho..??
 
Sina usemi Tena amani ya bwana iamue ndani yenu[emoji1][emoji1][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amen
 
Hujanielewa soma vizuri utanielewa tu mrembo.. sitaki mwaga muchele hapa mikuku mingi..[emoji28]
Hebu umwage tu huo mchele,mbeya tuna mchele mwingi,nitakupa mwingine [emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi ni mbovu kwenye code
 
Halafu napinga na nakemea kwa ukali wengine kutongozeana hapa wakati sijapata suruhisho!,nafsi inaniuma ndugu zangu hasa mnaowatongoza nami nawapenda!..
Napinga na nakemea kwa ukali zaidi na zaidi nami ninao wivu.

NB: Na mwenye wivu ajinyonge.
 
Hahahahahaha lol! Picha ya gauni la Yesu please! Ili nikikuona nalo hata KUKUSOGELEA sitathubutu 😂😂😂

Mimi naota?[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
Yaani unikute na lile gauni la Yesu ni mwamba afu wewe uanze shusha bongoflava unadhani nitakusikiliza!?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani mama hataki MKWE na WAJUKUU?
😂😂😂😂😂

Hivi utapata ujasiri wa kuongea na mimi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niko siriazi Sana..watu wananiogopa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu kanisani Mara nyingi naongozana na mama[emoji3]
 
Hivi kweli unasubiri??
Endelea kusubiri hadi Yesu arudi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😒
Unachonitendea sicho kabisa!
Hivi mtumishi wa bwana anawezeje kuwa muongo..?
 
Halafu napinga na nakemea kwa ukali wengine kutongozeana hapa wakati sijapata suruhisho!,nafsi inaniuma ndugu zangu hasa mnaowatongoza nami nawapenda!..
Napinga na nakemea kwa ukali zaidi na zaidi nami ninao wivu.

NB: Na mwenye wivu ajinyonge.
😀😄😀😂😀😄 imefika 🙌
 
Kwani mama hataki MKWE na WAJUKUU?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anataka
Ila hataki wa vichochoroni..anataka waje peupe
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
[emoji19]
Unachonitendea sicho kabisa!
Hivi mtumishi wa bwana anawezeje kuwa muongo..?
Hivi kumbe sikumalizia sentensi yangu eeh.?
Ilitakiwa niandike kwamba subiri Hadi Yesu arudi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahahaha lol! Picha ya gauni la Yesu please! Ili nikikuona nalo hata KUKUSOGELEA sitathubutu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu kenzy magauni yangu ya mtoko anayaita Yesu ni mwamba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Zuri Hilo,ukiliona hutatamani kuacha kuliangalia
 
Back
Top Bottom