Hilo ni gauni gani?Ha ha! Halafu nimekumbuka..
Vipi msurubisho..??

Hebu umwage tu huo mchele,mbeya tuna mchele mwingi,nitakupa mwingineHujanielewa soma vizuri utanielewa tu mrembo.. sitaki mwaga muchele hapa mikuku mingi..![]()



Mimi naota?
Yaani unikute na lile gauni la Yesu ni mwamba afu wewe uanze shusha bongoflava unadhani nitakusikiliza!?![]()
Hivi kweli unasubiri??Kumbuka ulichoniahidi...










nawazoom tu BAK atakuja kutoa feedback kwenye ule uzi wa tunda😀😀Umegundua nini ninong'oneze basi
Hivi utapata ujasiri wa kuongea na mimi?
Niko siriazi Sana..watu wananiogopa
Halafu kanisani Mara nyingi naongozana na mama![]()
nawazoom tu BAK atakuja kutoa feedback kwenye ule uzi wa tunda😀😀
😀😄😀😂😀😄 imefika 🙌Halafu napinga na nakemea kwa ukali wengine kutongozeana hapa wakati sijapata suruhisho!,nafsi inaniuma ndugu zangu hasa mnaowatongoza nami nawapenda!..
Napinga na nakemea kwa ukali zaidi na zaidi nami ninao wivu.
NB: Na mwenye wivu ajinyonge.
Kwani mama hataki MKWE na WAJUKUU?
![]()







anataka Hivi kumbe sikumalizia sentensi yangu eeh.?
Unachonitendea sicho kabisa!
Hivi mtumishi wa bwana anawezeje kuwa muongo..?









😄😀😄😀Haha ha sadaka !!? Wakati mtoaji lengo lake ni kutoa ili alipwe papuchi
Hahahahahaha lol! Picha ya gauni la Yesu please! Ili nikikuona nalo hata KUKUSOGELEA sitathubutu![]()


















