Msaada: Nina udomo zege usiopimika

Msaada: Nina udomo zege usiopimika

Hujanielewa soma vizuri utanielewa tu mrembo.. sitaki mwaga muchele hapa mikuku mingi..
Hebu umwage tu huo mchele,mbeya tuna mchele mwingi,nitakupa mwingine

Mimi ni mbovu kwenye code
 
Halafu napinga na nakemea kwa ukali wengine kutongozeana hapa wakati sijapata suruhisho!,nafsi inaniuma ndugu zangu hasa mnaowatongoza nami nawapenda!..
Napinga na nakemea kwa ukali zaidi na zaidi nami ninao wivu.

NB: Na mwenye wivu ajinyonge.
 
Hahahahahaha lol! Picha ya gauni la Yesu please! Ili nikikuona nalo hata KUKUSOGELEA sitathubutu 😂😂😂

Mimi naota?
Yaani unikute na lile gauni la Yesu ni mwamba afu wewe uanze shusha bongoflava unadhani nitakusikiliza!?
 
Halafu napinga na nakemea kwa ukali wengine kutongozeana hapa wakati sijapata suruhisho!,nafsi inaniuma ndugu zangu hasa mnaowatongoza nami nawapenda!..
Napinga na nakemea kwa ukali zaidi na zaidi nami ninao wivu.

NB: Na mwenye wivu ajinyonge.
😀😄😀😂😀😄 imefika 🙌
 
Back
Top Bottom