Huyo ngedere achana nae ana stress za kuzalishwa na kutelekezwa anataka apunguzie kwangu hasiraMkuu punguza jazba,, ndugu yetu asaidike...
Kutokwenda mnara ni adhabu kali sana, haiendani na kosa lake.... mbona hujamzingumzia Binti mwenzio aliyekitoa huku akijua kina mwenyewe.
Kabisaaaa yaan,Hongera mama kijacho, watoto wa mjini wanasema "umeupiga mwingi" Kama namuona anavyolea mimba yake bila stress.
Usikute haya hiyo mimba ni yai viza. Jaribu CHAPUTA kwanza uone kama mkono nao umeonewa wivu
mie tiba yake naijua sana.Naombeni mwenye kunisaidia.
Nashindwa tu kueleza najisikiaje
Nawee hasira peleka kwa huyo mama kija wakoSasa hizo hasira sii umpelekee aliekusuuza halafu kakubwaga
unajidanganya sana wee khaaaahPiga nje ndani ile unataka kushusha usishushe chomoa vaa usiongee naye hata akikuongelesha ww sepa!
Hapo Umesha pona ukimrudia tena shauri yako!
Utanipa Tawire!
Salamu wa ndugu.
Naombeni ambae ameshawahi kupatwa na tatizo kama hili anisaidie. Yaani ni hivi kuna msichana ambae nilianzisha nae mahusiano toka mwezi wa kwanza mwaka huu now anamimba yangu ya mwezi mmoja.
Ila kila napokutana na msichana tofauti na yeye nashindwa kusimamisha kabisa nimefanya hivyo kwa wasichana wa tatu ila hali inakua vile vile ila nikirudi kwake nakuwa na nguvu zisizokuwa za kawaida yaani tunaweza fanya mapenzi usiku kucha.
Jana nilikuwa nataka nikaongee nae nimwambie ukweli ikiwezekana nimpige kibuti na mimba nimwambia aitoe ila kuna jamaa yangu kanambia nitulie kwanza tutafute suluhisho la hili tatizo.
Naombeni mnisaidie ndugu maana hapo nyuma sikuwa na tatizo kabisa yaani inaniuma nimebaki na mawazo lukuki. Ukizingatia kuna mdada mmoja tulie kuwa tumepanga nimuoe ila hiyo hali imenikuta kwake zaidi ya mara mbili hapa nilipo nimeshindwa cha kufanya.
Natanguliza shukrani
Mshauri aende hospitali watamwambia uti
khaaaahMshauri aende hospitali watamwambia uti
Ukinikuta nimempa uzoefu
😀😀😀😀😀😀Mkono hauna personality.Usikute haya hiyo mimba ni yai viza. Jaribu CHAPUTA kwanza uone kama mkono nao umeonewa wivu
Sasa cha muhimu hapo ni kukutana naye huyo ukamwambie ukweli ili upate msaada mapema kwani ukienda kutafuta suluhisho lingie sio vibaya lakini jambo la busara unge elewana na huyo kwanzaSalamu wa ndugu.
Naombeni ambae ameshawahi kupatwa na tatizo kama hili anisaidie. Yaani ni hivi kuna msichana ambae nilianzisha nae mahusiano toka mwezi wa kwanza mwaka huu now anamimba yangu ya mwezi mmoja.
Ila kila napokutana na msichana tofauti na yeye nashindwa kusimamisha kabisa nimefanya hivyo kwa wasichana wa tatu ila hali inakua vile vile ila nikirudi kwake nakuwa na nguvu zisizokuwa za kawaida yaani tunaweza fanya mapenzi usiku kucha.
Jana nilikuwa nataka nikaongee nae nimwambie ukweli ikiwezekana nimpige kibuti na mimba nimwambia aitoe ila kuna jamaa yangu kanambia nitulie kwanza tutafute suluhisho la hili tatizo.
Naombeni mnisaidie ndugu maana hapo nyuma sikuwa na tatizo kabisa yaani inaniuma nimebaki na mawazo lukuki. Ukizingatia kuna mdada mmoja tulie kuwa tumepanga nimuoe ila hiyo hali imenikuta kwake zaidi ya mara mbili hapa nilipo nimeshindwa cha kufanya.
Natanguliza shukrani
Basi mwamba hajafa kabisa.Mkono hauna personality.
daah aiseekama una siku mbaya mfikirie mleta uzi kwanza
Mkuu nadhani kuoa sio muhimu,, muhimu alee mtoto aliomleta Duniani,,, KUOA kwa kijana wa sasa, tena kisa tu katia mimba hapo unakuwa unampa mtu gunia la misumari,,, Ndoa hio haitadumu kabisa..Nyege zako tu, ukizaa na mtu we mwoe, haya maisha sio marefu kama mnavyowaza, ukifanikiwa kumpa mtu mimba jitahidi kumuoa.
Hehehe dada wa watu katongozwa naye. Huyu me asingetongoza walaaa asingefwatwa
Mkuu nadhani kuoa sio muhimu,, muhimu alee mtoto aliomleta Duniani,,, KUOA kwa kijana wa sasa, tena kisa tu katia mimba hapo unakuwa unampa mtu gunia la misumari,,, Ndoa hio haitadumu kabisa..
Ukitia mimba,,, Kijana hakikisha unalea mtoto toka day One hadi unapoondoka kwenye Dunia.
KUOA ni at your own Risk