Msaada: Nimewekewa "tego", jogoo anawika kwake tu

Msaada: Nimewekewa "tego", jogoo anawika kwake tu

Dah nimecheka kweli? anyways je asubuhi kitu kinasimama au vipi,usikimbilie nguvu za giza
 
Naombeni mwenye kunisaidia.
Nashindwa tu kueleza najisikiaje
 
Hongera mama kijacho, watoto wa mjini wanasema "umeupiga mwingi" Kama namuona anavyolea mimba yake bila stress[emoji1][emoji1][emoji1].
Analea mimba au mimi ndio namlea pamoja na hiyo mimba yake
 
Tanzania Ni Ngumu Sana Na Kuloweka Ni Tabu
Pole Kwa Kudondosha Mnara Yaani Network Unaipata Sehemu Moja
Imemkuta Jamaa Yangu Alikuwa Dar Es Salaam Akahamia Dodoma


Akapata Mrangi Chang'ombe Huko Dodoma Akaloweka Sana
Ila Akirudi Dar Es Salaam Kwa Mkewe Network Search.......
Loading.........


Akajua Oops!! Business Digenda Short, Akirudi Kwa Mrangi Anapata 4G Nzuri
Akawaona Wajuzi Wa Dodoma Wakamsaidia Kuondoa Tatizo Sasa Hivi
Yupo Vizuri Njia Yote Anapata Full Network
Imebidi Amwache Yule Mrangi




KULOWEKA Oops!!
Kuloweka rahaaa eeeeh[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu wa ndugu.

Naombeni ambae ameshawahi kupatwa na tatizo kama hili anisaidie.

Yaani ni hivi kuna msichana ambae nilianzisha nae mahusiano toka mwezi wa kwanza mwaka huu now anamimba yangu ya mwezi mmoja.

Ila kila napokutana na msichana tofauti na yeye nashindwa kusimamisha kabisa nimefanya hivyo kwa wasichana wa tatu ila hali inakua vile vile.

Ila nikirudi kwake nakuwa na nguvu zisizokuwa za kawaida yaani tunaweza fanya mapenzi usiku kucha.

Jana nilikuwa nataka nikaongee nae nimwambie ukweli ikiwezekana nimpige kibuti na mimba nimwambia aitoe ila kuna jamaa yangu kanambia nitulie kwanza tutafute suluhisho la hili tatizo.

Naombeni mnisaidie ndugu maana hapo nyuma sikuwa na tatizo kabisa yaani inaniuma nimebaki na mawazo lukuki.

Ukizingatia kuna mdada mmoja tulie kuwa tumepanga nimuoe ila hiyo hali imenikuta kwake zaidi ya mara mbili hapa nilipo nimeshindwa cha kufanya.

Natanguliza shukrani
DUUH kwahiyo unaishi na mchawi
 
Salamu wa ndugu.

Naombeni ambae ameshawahi kupatwa na tatizo kama hili anisaidie.

Yaani ni hivi kuna msichana ambae nilianzisha nae mahusiano toka mwezi wa kwanza mwaka huu now anamimba yangu ya mwezi mmoja.

Ila kila napokutana na msichana tofauti na yeye nashindwa kusimamisha kabisa nimefanya hivyo kwa wasichana wa tatu ila hali inakua vile vile.

Ila nikirudi kwake nakuwa na nguvu zisizokuwa za kawaida yaani tunaweza fanya mapenzi usiku kucha.

Jana nilikuwa nataka nikaongee nae nimwambie ukweli ikiwezekana nimpige kibuti na mimba nimwambia aitoe ila kuna jamaa yangu kanambia nitulie kwanza tutafute suluhisho la hili tatizo.

Naombeni mnisaidie ndugu maana hapo nyuma sikuwa na tatizo kabisa yaani inaniuma nimebaki na mawazo lukuki.

Ukizingatia kuna mdada mmoja tulie kuwa tumepanga nimuoe ila hiyo hali imenikuta kwake zaidi ya mara mbili hapa nilipo nimeshindwa cha kufanya.

Natanguliza shukrani
Dawa nawe muwekee chura tumboni awe anarukaruka tu
 
Naomba nije na mm niongezee tego ili wanawake wengin3 wakikuona wakuone kama ke mwenzao tu
Mimba utie kwingine kuoa ukaoe kwingine...
Kenge maji wewe
Nyie ndio daily mnatukana single maza wakati nyie ndio watia mimba daily
 
Salamu wa ndugu.

Naombeni ambae ameshawahi kupatwa na tatizo kama hili anisaidie.

Yaani ni hivi kuna msichana ambae nilianzisha nae mahusiano toka mwezi wa kwanza mwaka huu now anamimba yangu ya mwezi mmoja.

Ila kila napokutana na msichana tofauti na yeye nashindwa kusimamisha kabisa nimefanya hivyo kwa wasichana wa tatu ila hali inakua vile vile.

Ila nikirudi kwake nakuwa na nguvu zisizokuwa za kawaida yaani tunaweza fanya mapenzi usiku kucha.

Jana nilikuwa nataka nikaongee nae nimwambie ukweli ikiwezekana nimpige kibuti na mimba nimwambia aitoe ila kuna jamaa yangu kanambia nitulie kwanza tutafute suluhisho la hili tatizo.

Naombeni mnisaidie ndugu maana hapo nyuma sikuwa na tatizo kabisa yaani inaniuma nimebaki na mawazo lukuki.

Ukizingatia kuna mdada mmoja tulie kuwa tumepanga nimuoe ila hiyo hali imenikuta kwake zaidi ya mara mbili hapa nilipo nimeshindwa cha kufanya.

Natanguliza shukrani
Pole
 
I wish auchukue na huo uume wako atembee nao kwenye pochi kimazingara kila ukichek hapo kati ni peupeeeeee ili ujifunze zaidi p
mbona hasira hivyo dada au nawewe ni single mother.
 
Wanawake humu wamemshukia mtoa mada jumlajumla
 
Hilo ni funzo hata kwa wengine, ukiona huyo ni mwanamke wa kupita basi pita kweli sio unaweka kambi mwisho wa siku umwache lwa maumivu makali

Pole sana mkuu, kama ni yeye kweli kakufanyia hivo mimi sikushauri umuoe mwanamke mchawi.

Mchunguze hata kwa wiki moja huenda ukapata kitu, fanya hata kumzuga kidogo huenda ukapata tiba mkuu.
 
Back
Top Bottom