vyuma kweli vimekaza yan kumbe ulikuwa na Tshs 23/= TU?😀😀View attachment 645338
Alituma kupitia NMB.
Ilikua mida ya saa tatu asubuhi.
Wakuu, nineaubiria kushika sim ya aliekosea hadi sasa holla.....
Msaada tafadhali





Si unajua me na yeye mapacha anachokifanya lazima nami nifanye usisahau kuja tuBoss kwa ufupi tu. Hiyo hela hapo ndo imefika labda mwenyew aripoti nmb wairudishe tofaut na hapo hauwezi irudisha. Ukipiga simu Voda CC watairudisha lakini haitafika nmb ila itaishia katikati mda wote tunaita (collection account) ,nmb wataivuta kutoka hyo akaunt endapo tu wana namba ya account ilipotokea na wewe huijui coz itakubidi uwapigie na uwatajie acct number of which wewe huijui ila una business number tu hapo hyo 556677 na siyo account number , so kwa vyovyote vile haitaweza kumrudia muhusika pasipo mtumaji kutoa taarifa Voda au nmb Cc. Tulia ikifika zaid ya siku tano tafuna. Full stopTafadhali mkuu....
Umetisha mkuuMkuu naona ujanielewa. Yule alietuma hela anajuw jina lako halisi. Na huku amejuw jina unalolitumia. Hapo umenisoma vizuri? Anaweza akatuma makusudi ili uje huku utanganze.
Sawa mkuu, nitaleta mrejesho baada ya siku hizo tanoBoss kwa ufupi tu. Hiyo hela hapo ndo imefika labda mwenyew aripoti nmb wairudishe tofaut na hapo hauwezi irudisha. Ukipiga simu Voda CC watairudisha lakini haitafika nmb ila itaishia katikati mda wote tunaita (collection account) ,nmb wataivuta kutoka hyo akaunt endapo tu wana namba ya account ilipotokea na wewe huijui coz itakubidi uwapigie na uwatajie acct number of which wewe huijui ila una business number tu hapo hyo 556677 na siyo account number , so kwa vyovyote vile haitaweza kumrudia muhusika pasipo mtumaji kutoa taarifa Voda au nmb Cc. Tulia ikifika zaid ya siku tano tafuna. Full stop
sympathy inatakiwa sana,vaa uhusika wa mwenzio ndio iwe inakutokea wewe,umefanya vizuri sana mkuu kumkumbuka mzeeMkuu kweli kabisa, mimi nasomesha mtoto wangu baada ya kunyimwa mkopo na serikali kuna siku kaniambia kaishiwa hela ya kula haraka nikatuma hela bila kuangalia namba vizuri ikaenda kwa mtu mwingine kidogo ni paralyse. Lakini bahati nzuri aliyepokea akanirudishia bila shida. Ni mzee mpaka leo ni Baba wa hiyari nampa chakula nikipata. Kuna mwingine kazima simu sababu 10000/- yaani huwa namdharau sana.
fanya tuu mkuu,60 kwa usawa huu wa Magu ni pay ndefu ila ni pay ndogo sana pia,utaitumia na haitakufikisha popote mkuu,we vuta subira tuu kama ndio riziki yako itajulikanaAsante kwa maneno kuntu mkuu, ebu ngoja nifanye subira
Umepewa sadaka tumiaView attachment 645338
Alituma kupitia NMB.
Ilikua mida ya saa tatu asubuhi.
Wakuu, nineaubiria kushika sim ya aliekosea hadi sasa holla.....
Msaada tafadhali
Tumia Kondomu.Kuwa mwaminifu