Msaada: Nimetumiwa pesa kimakosa

Msaada: Nimetumiwa pesa kimakosa

Akaunt yako ilikua na sh 23
Half umepata neema hio bado unaitangaza
Hata ingekua na zero mkuu, kwangu haijalishi kwasababu siitumii m-pesa account.
Pia hiyo sio neema mkuu, Hiyo ni bahati mbaya kwa alie kosea, na inawezekana huko alipo anaweza hata akapoteza uhai wa mtu pengine aliekua akisubiria fedha hii ili apate tiba. Ama yawezekana kuna watu wamekosa mlo kwa makosa ya kukosea utumaji fedha
 
Mkuu safi sana kwa uaminifu wako. Niliwahi kutumiwa kimakosa pesa Kumbe ni ada ya mtoto, yule mama hakuamini km ningemrudishia!

Mpk leo yule mama ni dadangu wa kutukuka! Na juzi tu hapa nimetumiwa gallon la asali!
 
Mkuu safi sana kwa uaminifu wako. Niliwahi kutumiwa kimakosa pesa Kumbe ni ada ya mtoto, yule mama hakuamini km ningemrudishia!

Mpk leo yule mama ni dadangu wa kutukuka! Na juzi tu hapa nimetumiwa gallon la asali!
Nikweli mkuu... haya mambo hutokea sana katika jamii tunayo ishi nayo. Najaribu kuwaza kama pengine kuna watu walikosa chakula ama palikua na mgonjwa na huu muamala walikua wanausubiria ili waokoe jahazi.....
 
mkuu kwenye account huwa unatoa zote kabisa?????????? nimekukubali maana ilikuwa account yako inasoma tsh 23. hizo ndo ulishindwa kuzitoa ile ungeweza najua ungezitoa nazo.... anyway nadhani waliona salio lako lilivyo wakajisikia huruma. tulia tu usizitoe kwanza ziache angalau zipendezesha account yako.
ila usiwe unakwangua pesa yote .... acha kidogo hata 200,000 kwa ajili tu ya kukushikia account.

View attachment 645338
Alituma kupitia NMB.
Ilikua mida ya saa tatu asubuhi.
Wakuu, nineaubiria kushika sim ya aliekosea hadi sasa holla.....
Msaada tafadhali
 
Hofu ondoa mkuu, sijawahi kupenda kujiweka matatani tangu nilipo jiunga jambo forums 2007. Na hii imenifanya nikaamua kuweka ushahidi hadharani.
Kikubwa ni itaje namba ulio itumia fedha kimakosa, na nitakurejeshea
Naona 2017 imegeuka 2007
 

Hahahaha! Kweli Magufuli kakaza. Yaani ulikuwa umebaki na balance ya Tshs 23? Naona Santa Kilausi kakuonea huruma babaangu eeh 😀😀😀😀

upload_2017-12-7_19-2-40.png
 
Dah kweli tupo tofauti. Mimi nmepokea 32000 hapa nisijue nani kanitumia c nimehamisha m-pawa mda tu bro anantumia text hyo ela ya begi kamnunulie Dogo ...nmebaki mdogo kama piritoni. Maisha haya jamani kila mtu anawaza lake hasa kipindi hichi vyuma tight .
 
Dah kweli tupo tofauti. Mimi nmepokea 32000 hapa nisijue nani kanitumia c nimehamisha m-pawa mda tu bro anantumia text hyo ela ya begi kamnunulie Dogo ...nmebaki mdogo kama piritoni. Maisha haya jamani kila mtu anawaza lake hasa kipindi hichi vyuma tight .
Hahahaaa pole san
 
Dah kweli tupo tofauti. Mimi nmepokea 32000 hapa nisijue nani kanitumia c nimehamisha m-pawa mda tu bro anantumia text hyo ela ya begi kamnunulie Dogo ...nmebaki mdogo kama piritoni. Maisha haya jamani kila mtu anawaza lake hasa kipindi hichi vyuma tight .
IMG_20171207_191443_568.jpg
 
Back
Top Bottom