Msaada: Nimetumiwa pesa kimakosa

Msaada: Nimetumiwa pesa kimakosa

Kama umewahi fanya interview yoyote rudisha hizo pesa NMB kwa usalama wa ajira yako ijayo.
Mkuu....
Sina njaa kiasi hicho.
Nilisha ajiriwa na mwisho wa siku nikajiajiri.
Hii naifanya kiroho safi mkuu
 
assume hiyo hela alikuwa anamtumia mchepuko, huku akiwa ameacha mkewe na watoto kwenye hali ngumu hapo ndiyo hautamonea uruma na kuirudisha
Sitaki kuwa na mawazo mabaya na tamaa kwenye fedha ya mtu mkuu....
 
Watu waungwana wanaojua uadilifu ni nini huwa wanasema ukiokota kitu cha mtu,unatakiwa usubirie hadi mwezi ili mwenye chake akikute,Mkuu yeye bado hajaundua kuwa amekosea kutuma,atagundua baada ya kuwasiliana na muhusika
kuna siku mimi nimelala nilikuwa sina pesa hata kidogo siku hiyo,asubuhi saa kumi na mbili mtu katuma laki mbili na nusu kwenye simu ya wif,wakati tunatafakari nani katuma pes hii,akapiga mwenye kukosea akasema samahani ndugu yangu nilikuwa natuma muhimbili kwa mgonjwa kwa hiyo naomba unisaidie,nikamwambia hii ni pesa yako haijalishi ulikuwa unatuma kwa nani,nikamrudishia mwenye nayi
Siku tano baadae na mimi nikakosea kutuma 50000,pia nilirudishiwa ki roho safi bila kusumbuliwa,As you do,you will done
 
Hhahahaaa usione anaomba ushauri hapo.. Hata yeye anasubri ikipigwa ikipigwa kimya nae anapiga kimya
Sihitaji ushauri mkuu...
Hapa ninatamani kumrudishia alie kosea kufanya muhamala.
Tamaa ya fedha ndogo kama hizi sio dili kwangu
 
Mh! Kula tu hizo hela mkuu! Tazama picha za mtu huyu aliyenitumia msg ya kugushi akiniomba nimrudishie hela aliyonitumia!
IMG_20171206_182410_348.jpg
IMG_20171206_182410_348.jpg
IMG_20171206_182410_348.jpg

Ni mtu anayejiita MERY BAMBONA ila anayemiliki simu ni mwanaume!
 

Attachments

  • IMG_20171206_072904_640.jpg
    IMG_20171206_072904_640.jpg
    54.8 KB · Views: 43
Watu waungwana wanaojua uadilifu ni nini huwa wanasema ukiokota kitu cha mtu,unatakiwa usubirie hadi mwezi ili mwenye chake akikute,Mkuu yeye bado hajaundua kuwa amekosea kutuma,atagundua baada ya kuwasiliana na muhusika
kuna siku mimi nimelala nilikuwa sina pesa hata kidogo siku hiyo,asubuhi saa kumi na mbili mtu katuma laki mbili na nusu kwenye simu ya wif,wakati tunatafakari nani katuma pes hii,akapiga mwenye kukosea akasema samahani ndugu yangu nilikuwa natuma muhimbili kwa mgonjwa kwa hiyo naomba unisaidie,nikamwambia hii ni pesa yako haijalishi ulikuwa unatuma kwa nani,nikamrudishia mwenye nayi
Siku tano baadae na mimi nikakosea kutuma 50000,pia nilirudishiwa ki roho safi bila kusumbuliwa,As you do,you will done
Asante kwa maneno kuntu mkuu, ebu ngoja nifanye subira
 
Back
Top Bottom