Hahahaaaaaa.....Dah kweli tupo tofauti. Mimi nmepokea 32000 hapa nisijue nani kanitumia c nimehamisha m-pawa mda tu bro anantumia text hyo ela ya begi kamnunulie Dogo ...nmebaki mdogo kama piritoni. Maisha haya jamani kila mtu anawaza lake hasa kipindi hichi vyuma tight .
