Msaada: Nimelala na wanawake wengi sana

Msaada: Nimelala na wanawake wengi sana

lekumok

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2018
Posts
589
Reaction score
771
Wakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo.

Katika maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua.

Wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.

Sasa wasiwasi wangu mimi mpaka sasa sina mtoto.

Je, kuna uwezekano nikapata mtoto kweli?

Naombeni mchango wenu wakuu!
 
Wakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo.ktk maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua. wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.sasa wasiwasi wangu mim mpaka sasa sina mtoto je kuna uwezekano nikapata mtoto kweli? Naombeni mchango wenu wakuu
Tukusaidie nini sasa hapa?
 
Wakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo.ktk maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua. wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.sasa wasiwasi wangu mim mpaka sasa sina mtoto je kuna uwezekano nikapata mtoto kweli? Naombeni mchango wenu wakuu
Yaani kati ya hao wote hakuna hata mmoja aliyewahi kukusingizia mtoto?
 
IMG_20220427_233649.jpg
 
Wakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo.ktk maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua. wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.sasa wasiwasi wangu mim mpaka sasa sina mtoto je kuna uwezekano nikapata mtoto kweli? Naombeni mchango wenu wakuu
Ushawahi kuugua gono?
 
Back
Top Bottom