Msaada: Nimekuta missed Call ya Namba hii--+255282160100

Msaada: Nimekuta missed Call ya Namba hii--+255282160100

Existentialist

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2013
Posts
554
Reaction score
377
WanaJF polen na majukumu..

Naomba msaada kwa yeyote anaeifahamu hiyo namba hapo juu.

Naomba kujua ni ya company gani?? maana nimekuta missed calls zake kwenye simu yangu ukiipiga inaonekana iko kwenye fax
 
Application letter in your own hand writing or typed, Detailed CV including three contactable referees, Copies of relevant certificates and any other testimonials which will support your application should be

HUMAN RESOURCES MANAGER
GEITA GOLD MINING LTD
P. O. BOX 532,
GEITA - MWANZA.

Phone – +255282160100 / Email: jobs@geitagold.com

Or submitted at GGM Administration Block Reception Office & the subject must be ‘’Application for

Closing date is 30th September, 2013

Source: Job opportunity for a Nurse at-Geita Gold Mine, Tanzania - wavuti.weebly.com
 
Application letter in your own hand writing or typed, Detailed CV including three contactable referees, Copies of relevant certificates and any other testimonials which will support your application should be

HUMAN RESOURCES MANAGER
GEITA GOLD MINING LTD
P. O. BOX 532,
GEITA - MWANZA.

Phone – +255282160100 / Email: jobs@geitagold.com

Or submitted at GGM Administration Block Reception Office & the subject must be ''Application for

Closing date is 30th September, 2013

Source: Job opportunity for a Nurse at-Geita Gold Mine, Tanzania - wavuti.weebly.com
Be Blessed Mkuu
 
Yaani hata siamini afu walipiga mara moja tu hawajarudia tena!!!!

umeona uzuri huo wa kuuliza?,ungejifanya mjuaji ukawapotezea,ingekuwaje?,ndio maana wahenga walisema-''Kuuliza sio ujinga''.
 
WanaJF polen na majukumu..

Naomba msaada kwa yeyote anaeifahamu hiyo namba hapo juu.

Naomba kujua ni ya company gani?? maana nimekuta missed calls zake kwenye simu yangu ukiipiga inaonekana iko kwenye fax

dah hongeraaaaaaaa
 
Ujue me huwa nashangaa,inakuaje mtu unatafuta kazi then unakaa mbali na simu yako?ona sasa kama wewe ushapishana na gari la mshahara.
 
Ujue me huwa nashangaa,inakuaje mtu unatafuta kazi then unakaa mbali na simu yako?ona sasa kama wewe ushapishana na gari la mshahara.

Mkuu umenichekesha sana
ninapokua kwenye usaili hiki kipengele cha simu ni lazima niwaambie, "kama nimebahatika kupata nafasi ya kazi napendelea muniwachie ujumbe wa maandishi, wengine haturuhusiwi kuwa na simu sehemu za kazi au nitakua kwenye kelele na sitoweza kusikia simu ikiita" basi jamaa wanakwambia tutakutafuta wiki nzima hata kama ni ucku, hapo mkuu amebipiwa mara moja tu! hr anataka kumnyima kazi
 
Ujue me huwa nashangaa,inakuaje mtu unatafuta kazi then unakaa mbali na simu yako?ona sasa kama wewe ushapishana na gari la mshahara.

Inawezekana jamaa alikuwa bafuni
 
Ujue me huwa nashangaa,inakuaje mtu unatafuta kazi then unakaa mbali na simu yako?ona sasa kama wewe ushapishana na gari la mshahara.

Siyo hivyo mkuu ilikuwa tu bahati mbaya kwangu kwa leo nilikuwa nimeweka simu mbali kidogo
 
Kuna washikaji zangu walikua wanafanya kazi tayari..(waliajiriwa kabla yangu kipindi hicho) sasa wakawa wakipata time wana nisalimia pitia landlines za ofisini kwao yani walikua wana nipa wakati mgumu sna ukiona simu tuu ya aina hiyo unashituka ukijua mchingo umetick mara unakutana na jamaa yako anakua hi...dah!! ni sheeda
 
Back
Top Bottom