Msaada: Undani wa kazi ya Bank Sales

Msaada: Undani wa kazi ya Bank Sales

lee jack

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2017
Posts
1,082
Reaction score
1,917
Habari zenu naomba msaada kwa yeyote aliyewahi kufanya kazi kama bank sales anisaidie kunipa muongozo wa majukumu ya direct sales kwa bank ni yapi pia ningependa kujua changamoto pamoja na mazingira ya kazi ya direct sale person.

Natanguliza shukrani.
 
Nisaidieni jamn mbna kimya hamna wafanyakazi wa bank humu ndani
 
Mkuu kazi ni moja kuleta wateja wapya, na kuwashawishi wafungue account za bank husika, pamoja na kuweka akiba au kukopa. Ni kazi yenye Target na baadhi ya Bank wanalipa kwa commission kutokana na mauzo yako, ni njia nzuri ya kuingia careers ya Banking ila inataka mtu mwenye njaa ya hela ujue kujichanganya na convincing power ya hali ya juu. Ni kazi rahisi kwa mabank makubwa yanayojiuza ila kwa hizi bank ndogoni corporate zaidi..uwe tayari kutembelea makampuni na kukutana na Ma HR, Admins e.t.c ... Kila la heri.
 
Mkuu kazi ni moja kuleta wateja wapya, na kuwashawishi wafungue account za bank husika, pamoja na kuweka akiba au kukopa. Ni kazi yenye Target na baadhi ya Bank wanalipa kwa commission kutokana na mauzo yako, ni njia nzuri ya kuingia careers ya Banking ila inataka mtu mwenye njaa ya hela ujue kujichanganya na convincing power ya hali ya juu. Ni kazi rahisi kwa mabank makubwa yanayojiuza ila kwa hizi bank ndogoni corporate zaidi..uwe tayari kutembelea makampuni na kukutana na Ma HR, Admins e.t.c ... Kila la heri.
Ukiwa field ni utamu zaidi kuliko ukae nje ya ofisi.
Bank sales mikoani 90,000 kwa siku mkoa husika 50,000 kwa siku plus commission.
 
Mabank makubwa ni kama yapi? Naomba muongozo kabla nifanye maamuzi mkuu
 
Mkuu kazi ni moja kuleta wateja wapya, na kuwashawishi wafungue account za bank husika, pamoja na kuweka akiba au kukopa. Ni kazi yenye Target na baadhi ya Bank wanalipa kwa commission kutokana na mauzo yako, ni njia nzuri ya kuingia careers ya Banking ila inataka mtu mwenye njaa ya hela ujue kujichanganya na convincing power ya hali ya juu. Ni kazi rahisi kwa mabank makubwa yanayojiuza ila kwa hizi bank ndogoni corporate zaidi..uwe tayari kutembelea makampuni na kukutana na Ma HR, Admins e.t.c ... Kila la heri.
Mabank makubwa ni kama yapi
 
Nenda kwenye benki yoyote iliyo karibu nawe waambie una uwezo wa kuwaletea wateja wapya kufungua akaunti. Amini kwamba Meneja atakupa kazi hiyo siku hiyo hiyo. Malipo ni commission. Bidii yako unalipwa kwa kila mteja atakae fungua akaunti
 
Mabank makubwa ni kama yapi
Pole na hongera

Kazi ya bank sales lengo kuu ni kufikia target ya mauzo au kuzidi

Unauza nini ? Bank products

Bank products ni zipi kama bank account, insurance, na nyinginezo

Kwenye kazi yako wewe ni kufungua akaunt mpya za wateja na kuleta wateja wapya ikiwa una ushawishi kwa wateja utakaowapata,

Malipo ni kulipwa kwa commission zipo bank watalipa 1,500 per akaunt au zaid ya hapo.

Bank kubwa ni NMB, CRDB, NBC, EXIM, EQUITY, STANDARD, STANBIC


Bank ndogo au za kati ni DCB, DTB, AKIBA, ACCESS, LETSHEGO, MWALIMU, ECO BANK, KCB,

Sio zote zenye kuhitaji watu wa kufungulia akaunt nyingn zinafanya kazi kimya kimya kama I&M BANK, BARODA, UBA

Kila la khery
 
Pole na hongera

Kazi ya bank sales lengo kuu ni kufikia target ya mauzo au kuzidi

Unauza nini ? Bank products

Bank products ni zipi kama bank account, insurance, na nyinginezo

Kwenye kazi yako wewe ni kufungua akaunt mpya za wateja na kuleta wateja wapya ikiwa una ushawishi kwa wateja utakaowapata,

Malipo ni kulipwa kwa commission zipo bank watalipa 1,500 per akaunt au zaid ya hapo.

Bank kubwa ni NMB, CRDB, NBC, EXIM, EQUITY, STANDARD, STANBIC


Bank ndogo au za kati ni DCB, DTB, AKIBA, ACCESS, LETSHEGO, MWALIMU, ECO BANK, KCB,

Sio zote zenye kuhitaji watu wa kufungulia akaunt nyingn zinafanya kazi kimya kimya kama I&M BANK, BARODA, UBA

Kila la khery
Duh so hamna mshahara zaidi ya commission
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom