.Hii story inanikumbusha enzi za kunyatia beki 3 home usiku nanyata huku natandika taulo chini kumbe siku hiyo dingi hajalala akanibamba
Ushauri mzuri ila kasema hanywi pombe, atafute mbinu nyingine sasaWatu mnajua kushauri.... Daaah
Kwani we hauna gheto? We mjuze shangazi tu ataelewa ye mwenyewe alikuwa mnjunjoni.

Waambie ulitumia Banana mixer jebel ukaanza kuharisha hovyosawa mkuu... sasa pombe nzuri ambayo ina akili za pilipili kichaa ipi....!!!!
Hahhhaha umenikumbusha huyu jamaa alienda kumfuata binti bafuni akapigiwa yowe na binti akaenda shamba kwenye mahindi akasingizia pombeJIRANI GUDAL FILLING STATION?
Hapo hauna kisingizio kingine zaidi ya pombe, kuna mwenzako alitaka kubaka akakimbilia kwenye mahindi sema alikua pombe ni hatari.
Halafu asingekimbia angezuga ameingia fasta ameona kama wachawi ukaigeuza nayeye angeamini ingeisha usiku huohuo yaniUkiwa mlevi hii kesi ndogo ka punje ya Mchele kwanza ingeisha usiku ule ule ulipokutana na shangazi yake
Hahaha yule jamaa alikua hovyo sana et alipenyeza kamsimbazi ili binti aingie mkenge.Hahhhaha umenikumbusha huyu jamaa alienda kumfuata binti bafuni akapigiwa yowe na binti akaenda shamba kwenye mahindi akasingizia pombe
mkuu hali ya kukimbia imenijia ghafla maana alishaanza kupayuka 'we naniiiii... wewe naniiiiii....!!!!!!!" kwa sauti kubwa kabisa..!!!Halafu asingekimbia angezuga ameingia fasta ameona kama wachawi ukaigeuza nayeye angeamini ingeisha usiku huohuo yani
Yule ndezi aliyepenyeza buku ten kwenye guniaHapo hauna kisingizio kingine zaidi ya pombe, kuna mwenzako alitaka kubaka akakimbilia kwenye mahindi sema alikua pombe ni hatari.