contagious
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 528
- 344
- Thread starter
- #61
Ahahahah, kwani unafikiri hilo siogopi mshikaji, maana haya mambo hayana formula.Sasa hapo mmeo akirithishwa mikoba ile unakua mke wa mchaw.....pole aisee
niombee aisee sio mambo ya matani haya, ghafla nakuja hapa nalia, ninavalishwa kaniki