contagious
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 528
- 344
- Thread starter
- #21
Acha nisingizie kwakuwa nimepata hiyo nafasi.Acha kusingia watu
Acha nisingizie kwakuwa nimepata hiyo nafasi.Acha kusingia watu
Ninakuelewa sana, natamani ningechaguliwa mume, haya mambo ya kukutana barabarani na kupendana yana Mengi, mpaka nimeuliza basi ujue kuna jinsi kubwa ambayo tunaathirika, lakini hakika Mungu ni mwema kwetu.Kama uchawi wake hauna madhara yoyote kwako endelea na ndoa yako sababu mume hana makosa wala hausiki. Familia itakayojengwa na watoto ni kati yako wewe na mume wako baba mkwe hausiki.
Zamani wazee wakitaka kuchumbia na kuoa wanaufuatilia ukoo wote na tabia zao: vitimbi vikizidi vya baba mkwe hama mji wewe na familia yako lakini usimuache mume wako
Amini utakavyo, lakini bado hujanipa msaada wa nini cha kufanya, hilo ndilo lilikuwa swali langu. Ingekuwa nimeambiwa na mganga japo ningeishia kwa mganga nisingeuliza hapa, ya nini wakati tayari niko kwa mtaalamu?Usikute kambiwa na mganga

Je kuamini katika Mungu na kweli kunafanya hawa wachawi wasiwepo? La hasha, wapo, na ndio maana tunatakiwa kumwabudu Mungu pekee yake, lkn uwepo wao hautatudhuru, hajanidhuru, ila nimejua kuwa yeye ni Mchawi, nimejuaje, wenyewe ndg wamenieleza, ilikuwaje wakanieleza hapo ndipo ambapo sitakueleza, sijasema kanidhuru, hayo ya kwenu, nimesema nimegundua.Huwezi kumjua mchawi bila na wewe kuwa mchawi hata kuamini katika uchawi ndio maana wanaoamini katika Mungu hakika wa naamini uwepo wa Mungu na pepo na mchawi kwao hana nafasi
Hakika ni mashaka, ama kwa hakika unaanza kujiuliza ukute ndio maana hapa ilikuwa hivi, labda hivi, namna hiyo, kuchukiwa tayari, tena vibaya sana, nilikuwa sijaelewa kwanini ila ndio nimeanza elewa.Duuuhh kuishi na mtu wa hivyo ni mashaka makubwa, Shirikisha Mungu katika maisha yako na hatakuweza. Ila akikushindwa jiandae kuchukiwa.
Amen, nashukuru, naomba uniombee pia, ninahitaji sana maombi. Ninaomba unikumbuke katika sala zako.Mungu akulinde zidisha tu maombi
AhahahaUkondoka tu na wewe unalogwa.Sasa hivi hakulogi kwa kuwa uko na mwanae.

Acha kufuatilia mambo hayo, waachie wenyewe; Wewe hayakuhusu na wala usijihusishe.Nimeelezwa na wenyewe baada ya baadhi ya mambo kutokea, series ya mambo kwa hakika, nikisema wenyewe namaanisha baadhi ya memba wa familia, ilitokea jambo katika kulitatua kwao wakataka kujimlisha mimi, katika kushangaa ndio nikatolewa upofu.
Mimi sihitaji wala kukumbuka yapo tatizo ni kwamba nashangaa, inawezekanaje? Kwanini mtu achague hilo? Wasingetaka nijue jambo nisingejua lolote.Acha kufuatilia mambo hayo, waachie wenyewe; Wewe hayakuhusu na wala usijihusishe.
Hakika Mungu ni mwema ubarikiwe.Ninakuelewa sana, natamani ningechaguliwa mume, haya mambo ya kukutana barabarani na kupendana yana Mengi, mpaka nimeuliza basi ujue kuna jinsi kubwa ambayo tunaathirika, lakini hakika Mungu ni mwema kwetu.
Achana na hayo maneno ya umbea, huna ushahidi. Hata hao waliokwambia hayo maneno sina hakika kama walikuonesha ushahidi. Ni vyema zaidi kukaa kimya kwa mambo tusiokuwa na ushahidi na hakika nayo.Mimi sihitaji wala kukumbuka yapo tatizo ni kwamba nashangaa, inawezekanaje? Kwanini mtu achague hilo? Wasingetaka nijue jambo nisingejua lolote.
Unawezaje kuishi na mume pale unapogundua kumbe baba yake mzazi ni mchawi anayedhuru watu hakika, nawe ulifichwa kila kitu.
Naomba msaada kwa hili
Na kama ulifwata hela kwao. Utashaa !!Unawezaje kuishi na mume pale unapogundua kumbe baba yake mzazi ni mchawi anayedhuru watu hakika, nawe ulifichwa kila kitu.
Naomba msaada kwa hili