Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,520
- 830,051
Kama ana access ya kuingia chumbani kwake anijulishetatizo huku scan mazingira kabla ya kuolewa na huyo bwana! enewai Mshana jr hii inakuhusu toa msaada tafadhali
Kama ana access ya kuingia chumbani kwake anijulishetatizo huku scan mazingira kabla ya kuolewa na huyo bwana! enewai Mshana jr hii inakuhusu toa msaada tafadhali
Sasa hapo mmeo akirithishwa mikoba ile unakua mke wa mchaw.....pole aiseeNimeelezwa na wenyewe baada ya baadhi ya mambo kutokea, series ya mambo kwa hakika, nikisema wenyewe namaanisha baadhi ya memba wa familia, ilitokea jambo katika kulitatua kwao wakataka kujimlisha mimi, katika kushangaa ndio nikatolewa upofu.
Hiv mshana jr ni mganga wa kienyej au unaupeo tu na vtu kama hv??Kama ana access ya kuingia chumbani kwake anijulishe
nilitaka kuuliza hata mimi. hz mambo za kupiga ramli zitawadanganya wengi na kuwagombanisha.Naomba nianze na swali ........umegunduaje?
Umejuaje kama ni mchawi km nawe sio mchawi?Unawezaje kuishi na mume pale unapogundua kumbe baba yake mzazi ni mchawi anayedhuru watu hakika, nawe ulifichwa kila kitu.
Naomba msaada kwa hili
umenichekesha sana Mkuu, kwa kuwa naona hukasiriki hovyo na unajibu kila hoja naomba nikuulize,Amini utakavyo, lakini bado hujanipa msaada wa nini cha kufanya, hilo ndilo lilikuwa swali langu. Ingekuwa nimeambiwa na mganga japo ningeishia kwa mganga nisingeuliza hapa, ya nini wakati tayari niko kwa mtaalamu?![]()
hiv wewe na ms. natafuta ni mutu na muke yake? jst asking in good faith kabisammmm ninawasiwasi na chanzo wewe ulivumbuaje hili swala ?
Mke wangu umeshafika huku? Una uhakika baba ni mchawi au hisia zako tu?Unawezaje kuishi na mume pale unapogundua kumbe baba yake mzazi ni mchawi anayedhuru watu hakika, nawe ulifichwa kila kitu.
Naomba msaada kwa hili
Kama unawatoto kuna ile hofu ya kibinadamu tu unaipata, unajiuliza, why did I end up kwenye familia ambayo utafikiri inamcha Mungu kumbe wameficha mambo ya kutisha? Wapi nilimkosea Mungu mpk anipe huu mtihani! Watoto wangu watapona hili balaa, kwahiyo ni kujiuliza sana lakini siwezi kudiriki kuingia kwa mganga, namwamini Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu, sitaacha kumwamini lakini nimepata kamshituko kwakuwa si jambo litokealo kwa kila familia. Hata hapa ninapoongea nawe nazidi kupata ahueni ya mshangao niliokumbana nao. Hasira za nini wakati nahitaji msaada wa kuelewa na nguvu za kuzidi kuomba na kumwomba Mungu azidi kunilindia wanangu wasije kuiga haya.umenichekesha sana Mkuu, kwa kuwa naona hukasiriki hovyo na unajibu kila hoja naomba nikuulize,
kama Mungu ndie aliyekuambia kwa nini usiendelee kumwuliza nini cha kufanya? yeye ni mtaalamu kuliko mganga yeyote wa dunia hii.
kikikikikkkkk
Nilikuelewa mamitoKama unawatoto kuna ile hofu ya kibinadamu tu unaipata, unajiuliza, why did I end up kwenye familia ambayo utafikiri inamcha Mungu kumbe wameficha mambo ya kutisha? Wapi nilimkosea Mungu mpk anipe huu mtihani! Watoto wangu watapona hili balaa, kwahiyo ni kujiuliza sana lakini siwezi kudiriki kuingia kwa mganga, namwamini Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu, sitaacha kumwamini lakini nimepata kamshituko kwakuwa si jambo litokealo kwa kila familia. Hata hapa ninapoongea nawe nazidi kupata ahueni ya mshangao niliokumbana nao. Hasira za nini wakati nahitaji msaada wa kuelewa na nguvu za kuzidi kuomba na kumwomba Mungu azidi kunilindia wanangu wasije kuiga haya.
Ila hakuna ulicjomkosea Mungu bali alikuweka hapo kwa sababu maalumu.Kama unawatoto kuna ile hofu ya kibinadamu tu unaipata, unajiuliza, why did I end up kwenye familia ambayo utafikiri inamcha Mungu kumbe wameficha mambo ya kutisha? Wapi nilimkosea Mungu mpk anipe huu mtihani! Watoto wangu watapona hili balaa, kwahiyo ni kujiuliza sana lakini siwezi kudiriki kuingia kwa mganga, namwamini Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu, sitaacha kumwamini lakini nimepata kamshituko kwakuwa si jambo litokealo kwa kila familia. Hata hapa ninapoongea nawe nazidi kupata ahueni ya mshangao niliokumbana nao. Hasira za nini wakati nahitaji msaada wa kuelewa na nguvu za kuzidi kuomba na kumwomba Mungu azidi kunilindia wanangu wasije kuiga haya.
Hapana mimi sio mganga wa kienyeji ni elimu tu na hata tunguli sijawahi shikaHiv mshana jr ni mganga wa kienyej au unaupeo tu na vtu kama hv??
Asante sana, umenipa moyo sana, hakika hakuna lililogumu kwa Mungu, nimekuelewa nashukuru sana na nitazidi kuzingatia maombi.Watu wengi wapo kwenye situation hizo... kujua wakwe ni wachawi ni baada ya wewe kuingia katika familia husika ila bila hivyo ni ngumu kujua... ukizingatia siku hizi tunakutana mjini mjini tu kuchambua koo za watu hou muda haupo..... huwezi kumuacha mumeo eti kisa baba yake mchawi heeee kwan uliolewa na huyo baba? Na je ikitokea akifa si wewe utabaki na mume wako ... sikia kila mtu atabeba mzigo wake ... NENO LA MUNGU LINASEMA HAKUNA UCHAWI WALA UGANGA KATIKA ISRAEL.. sasa wewe piga goti sema na MUNGU kwa imani kwani MUNGU HASHIDWI NA LOLOTE. Komaa achilia maombi ya kutosha... achilia damu ya yesu kwenye ndoa yako kama wewe ni mkristo..yeye mwenyewe atakuogopa.. mimi mama mkwe alinipigia simu akaniambia eti wewe ni mtoto mdogo huwezi shindana na mimi nikamjibu sio mimi nashindana na wewe bali YESU aliyeko ndani yangu ndiye anayekushughulisha.PIGA GOTI FANYA MAOMBI UTARUDI HAPA.
Ungesomaga huko nyumaa hizo text ungeelewa nimejuaje.nilitaka kuuliza hata mimi. hz mambo za kupiga ramli zitawadanganya wengi na kuwagombanisha.
Cha msingi muombee aache uchawi kama umehisi/kuju
a yeye ni mchawi.