freeboy
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 242
- 191
Mkuu nakusalimu.Habari zenu wadau wenzangu.
Miaka michache iliyopita nilifunga ndoa ya kidini na nikapata cheti cha kidini(BAKWATA), kwa sasa nalazimika kupata cheti cha ndoa kutoka serikalini (kazini kinahitajika), naomba kujua utaratibu ukoje kwa mtu ambae tayari alishafunga ndoa na anahitaji cheti cha serikali na gharama zikoje?
Asanteni
Nimepata maelekezo mazuri, nashukuru kwa ushirikiano wenu.
CLOSED,
Ulifanikisha vipi hili swala la kupata cheti cha serikali tofauti na kile cha bakwata.
Msaada wako unahitajika nimesoma comments naona kila mtu ana wazo lako tofauti.
Asante.