Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,441
- 38,417
Hapo ktk cheti cha BAKWATA, nimekuelewa. Hata Mimi ninacho.Wakuu msiwe wabishi cheti cha Bakwata kwa sasa hakitambuliwi serikalini.Mimi ni mtumishi nina akili timamu msidhani hapa naandika kitu nisichokijua.
Kama mtu hujui namna ya kunielekeza ni vema ukatulia tu
Unaposema hakitambuliki na Serikali ndio sikuelewi.
Mimi ni mtumishi wa Serikali. Na nakitumia mpk sasa hivi. Nimefanya kazi ktk government authority, nimekitumia kupata stahiki zote ikiwemo matibabu kupitia NHIF, wife na watoto.
Nikahama authority, nipo huku wizarani. Nakitumia kupata stahiki zangu kama kawaida. Labda utuambie ni wapi huko hakikubaliki?