Msaada: Nifanyeje chooni kwangu kuna nyoka

Msaada: Nifanyeje chooni kwangu kuna nyoka

miss username

Member
Joined
Mar 30, 2013
Posts
78
Reaction score
32
Nimeamka
kwenda kujisaidia mida ya saa kumi kasoro cha ajabu ile nafungua tu
mlango wa toilet nikaona nyoka mweusi mdogo mfano wa makerpen karibu na
tundu la choo

Nilichoamua ni kumflash kwa ndoo kubwa za maji. Hivi kweli atakuwa
amekufa au ataibuka tena?
Naogopa sana ukizingatia chumba chenyewe ni self
Naombeni ushauri nifanyeje
 
Duh! Najiuliza kama ungekua hujamuona hafu ile umechuchumaa tu kuanza mambo mara kakudunga! Sijui ungewaambia majirani kuwa umeumwa na nyoka!!! Manake lazima watakuuliza wapi.....! By the way kama una mafuta ya taa ka lita 1 na zaidi mimina humo, kwa harufu atatoka fasta na kama yakimpata yatamkatakata.
 
Plz naomba nikuukize, je ww msimamo wako ni upi juu ya gas ya Mtwara? Km ulishawah kuropoka kuw INATOKA....bac kazi unayo kaka, huyo nyoka hatodhibitika hata kwa mafuta taa. Change msimamo haraka ili ukate gogo kw raha.
 
huyo si nyoka bali ni mnyoo mkubwa ambao kwa bahati mbaya ulimtoa ulupokuwa wajisaidia. Hapo ulipomuona alikuwa anajiandaa kurudi tumboni kwako kupitia alipotokea.
 
nyoka maji huyo kaa na fimbo ukiwa unadondosha mawe
 
Ungemuua tu mkuu lakini kwakuwa ilishatokea basi hauna jinsi cha msingi fanya uchemshe maji ya moto uflash tena then utakuwa huru na starehe zako huko chooni.
 
Nimeamka
kwenda kujisaidia mida ya saa kumi kasoro cha ajabu ile nafungua tu
mlango wa toilet nikaona nyoka mweusi mdogo mfano wa makerpen karibu na
tundu la choo

Nilichoamua ni kumflash kwa ndoo kubwa za maji. Hivi kweli atakuwa
amekufa au ataibuka tena?
Naogopa sana ukizingatia chumba chenyewe ni self
Naombeni ushauri nifanyeje

Atakuwa kajibanza mahali kwenye hilo tundu...Chuchumaa kwa taadhari next time maana anaweza akatoka kwenye tundu la choo na kuingia kwenye tundu lingine....
 
maji ya moto si chochote mwaga mafuta ya taa au dizeli kiac cha lita moja kinatosha mwaga nusulita maraoja kisha nusu nyingine mwaga taratibu yakimfikia atakatika katika yasipo mfikia atatoka usimuogope hawezi kutembea ktk sinki au vigae anateleza
 
Plz naomba nikuukize, je ww msimamo wako ni upi juu ya gas ya Mtwara? Km ulishawah kuropoka kuw INATOKA....bac kazi unayo kaka, huyo nyoka hatodhibitika hata kwa mafuta taa. Change msimamo haraka ili ukate gogo kw raha.

'jamani msiwe mnakurupuka tu na kuanza kujibu muwe angalau mnaangalia na jina la mleta mada we unamwita kaka wakati jina lake linajieleza ndugu...'
 
Atakuwa kajibanza mahali kwenye hilo tundu...Chuchumaa kwa taadhari next time maana anaweza akatoka kwenye tundu la choo na kuingia kwenye tundu lingine....
mmmmh!ha ha ha ha tundu lipi kati ya yale mawili...
 
Na possibility nyingine ni hjaingia shimoni yupo kwa pembezoni ya choo.

Solution yangu ni a mix of the two. Mafuta nusu lita tu yanatosha..na chumvi pakiti moja.

Mwaga kwanza maji kama ndoo moja tena. Kisha mimina mafuta ya taa/diesel taratibu sio kama unaflash. Tumia lile dude la kusafishia choo kuyasambaza vizuri kwenye sink la choo.

Chumvi imwage kwenye shimo la choo na kiasi kimwage kwenye sink.

Next nenda kachunguze outlet ya choo chako ilipo. Inawezekana pako wazi kuruhusu wadudu kuingia. Kama ndio basi fanya jitihada kupaziba.

Kama hapo karibu huoni gap basi itakubidi ufanye practice ya kumwaga mafuta chooni kwako walau once in two weeks kwa usalama zaidi.

Jitahidi pia kuwa unafunga mlango wako wa kuelekea chumbani kutokea chooni. You dont want them in ur bedroom maam.

Aaand before i forget..kwenye saccos yangu kapungua member mmoja ( Mrembo by Nature) na ninahitaji replacement..so siku ukijisikia uoga kulala peke yako unakaribishwa kunipm.
 
Last edited by a moderator:
Chumba ni self hicho choo ni cha aina gani na ni mazingira gani ambayo Nyoka anaweza kuingia ndani?
 
Aisee hapo kunya inabidi usitishe kwa muda,maana fikiria ile unakaa tu anaibuka na kukudunga pale nya inatokea hayo maumivu yake hatari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom