mpushi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 280
- 77
Atakuwa kajibanza mahali kwenye hilo tundu...Chuchumaa kwa taadhari next time maana anaweza akatoka kwenye tundu la choo na kuingia kwenye tundu lingine....
Mkuu umenifurahisha sana
Atakuwa kajibanza mahali kwenye hilo tundu...Chuchumaa kwa taadhari next time maana anaweza akatoka kwenye tundu la choo na kuingia kwenye tundu lingine....
self za uswahilini mkuu!ili mradi usichangie choo na majiraniChumba ni self hicho choo ni cha aina gani na ni mazingira gani ambayo Nyoka anaweza kuingia ndani?
Najuta kufungua hii thread nikiwa nadownload ma- file
miaka ya nyuma kabisa,nakumbuka nilivaa pichu yangu,bila kuangalia kwa makini,kumbe ndani kulikuwa na dudu washa,pichu nimeshaivaa mara nasikia kitu kinatekenya,nikavua na kuangalia uwiiii,si makelele hayo niliyopiga,hilo tukio silisahau.ila nashukuru sikuwashwaDuh! Najiuliza kama ungekua hujamuona hafu ile umechuchumaa tu kuanza mambo mara kakudunga! Sijui ungewaambia majirani kuwa umeumwa na nyoka!!! Manake lazima watakuuliza wapi.....! By the way kama una mafuta ya taa ka lita 1 na zaidi mimina humo, kwa harufu atatoka fasta na kama yakimpata yatamkatakata.
Aaand before i forget..kwenye saccos yangu kapungua member mmoja ( Mrembo by Nature) na ninahitaji replacement..so siku ukijisikia uoga kulala peke yako unakaribishwa kunipm.
kunya mlangoni