TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,284
- 27,972
Mwana JF yoyote huwa nampa hiyo heshima shidhani kama ni vibaya nikimuita hivyo.
nisamehe kwa kuwakwazaSamahani naômba hunitajie sifa za mkuu.
Mwana JF yoyote huwa nampa hiyo heshima shidhani kama ni vibaya nikimuita hivyo.
nisamehe kwa kuwakwazaSamahani naômba hunitajie sifa za mkuu.
nisamehe kwa kuwakwaza
Nadhani kuna mengi ya kujiuliza hapo! Ameingia chooni, Kama ni mdogo mama yake yuko wapi, then utawamaliza vp woote hao?
Plz naomba nikuukize, je ww msimamo wako ni upi juu ya gas ya Mtwara? Km ulishawah kuropoka kuw INATOKA....bac kazi unayo kaka, huyo nyoka hatodhibitika hata kwa mafuta taa. Change msimamo haraka ili ukate gogo kw raha.
miaka ya nyuma kabisa,nakumbuka nilivaa pichu yangu,bila kuangalia kwa makini,kumbe ndani kulikuwa na dudu washa,pichu nimeshaivaa mara nasikia kitu kinatekenya,nikavua na kuangalia uwiiii,si makelele hayo niliyopiga,hilo tukio silisahau.ila nashukuru sikuwashwa
miaka ya nyuma kabisa,nakumbuka nilivaa pichu yangu,bila kuangalia kwa makini,kumbe ndani kulikuwa na dudu washa,pichu nimeshaivaa mara nasikia kitu kinatekenya,nikavua na kuangalia uwiiii,si makelele hayo niliyopiga,hilo tukio silisahau.ila nashukuru sikuwashwa
Duh,,,na vile sisi wanaume tukitumia vyoo vya kukaa mfumo wote wa uzazi tunauzamisha kwenye shimo aka tunauninginiza shimoni😀kazi tunayoNimeamka
kwenda kujisaidia mida ya saa kumi kasoro cha ajabu ile nafungua tu
mlango wa toilet nikaona nyoka mweusi mdogo mfano wa makerpen karibu na
tundu la choo
Nilichoamua ni kumflash kwa ndoo kubwa za maji. Hivi kweli atakuwa
amekufa au ataibuka tena?
Naogopa sana ukizingatia chumba chenyewe ni self
Naombeni ushauri nifanyeje