'jamani msiwe mnakurupuka tu na kuanza kujibu muwe angalau mnaangalia na jina la mleta mada we unamwita kaka wakati jina lake linajieleza ndugu...'
"Mambo 5 muhimu ya kumfanya demu akukupali au demu wako akupende kwa dhati 1.Mpe hela. 2.Mpe hela 3.We mpe hela. 4.Nakwambia mpe hela. 5.We mpe hela tu utaona"
Ni mimi mtoto wa Jakaya hata ikulu napiga chata.
CC Mentor ....japo kimya kimya ninajua unasoma
maji ya moto si chochote mwaga mafuta ya taa au dizeli kiac cha lita moja kinatosha mwaga nusulita maraoja kisha nusu nyingine mwaga taratibu yakimfikia atakatika katika yasipo mfikia atatoka usimuogope hawezi kutembea ktk sinki au vigae anateleza
Nimeamka
kwenda kujisaidia mida ya saa kumi kasoro cha ajabu ile nafungua tu
mlango wa toilet nikaona nyoka mweusi mdogo mfano wa makerpen karibu na
tundu la choo
Nilichoamua ni kumflash kwa ndoo kubwa za maji. Hivi kweli atakuwa
amekufa au ataibuka tena?
Naogopa sana ukizingatia chumba chenyewe ni self
Naombeni ushauri nifanyeje
Una uhakika kuwa huyu ni mkuu?Ungemuua tu mkuu lakini kwakuwa ilishatokea basi hauna jinsi cha msingi fanya uchemshe maji ya moto uflash tena then utakuwa huru na starehe zako huko chooni.
Nimeamka
kwenda kujisaidia mida ya saa kumi kasoro cha ajabu ile nafungua tu
mlango wa toilet nikaona nyoka mweusi mdogo mfano wa makerpen karibu na
tundu la choo
Nilichoamua ni kumflash kwa ndoo kubwa za maji. Hivi kweli atakuwa
amekufa au ataibuka tena?
Naogopa sana ukizingatia chumba chenyewe ni self
Naombeni ushauri nifanyeje
Unamaanisha nilizokuwa nakupa hazitoshi!???????????????? hayaweee..nenda mama saccoss yangu ina members wengi waaminifu!!!
Una uhakika kuwa huyu ni mkuu?
Una uhakika kuwa huyu ni mkuu?
Umewekaa kwamba unatafuta member mwingine kwenye saccos yako....ndio maana nimekushauri kwamba huyo utakaempata mpe hela ili adumu kwenye saccos yako
Nimeamka
kwenda kujisaidia mida ya saa kumi kasoro cha ajabu ile nafungua tu
mlango wa toilet nikaona nyoka mweusi mdogo mfano wa makerpen karibu na
tundu la choo
Nilichoamua ni kumflash kwa ndoo kubwa za maji. Hivi kweli atakuwa
amekufa au ataibuka tena?
Naogopa sana ukizingatia chumba chenyewe ni self
Naombeni ushauri nifanyeje
Ngoja nizitumie mbinu zako kukuleta wewe kwanza!