Msaada: Ni kweli mwanamke anaweza akawa na mimba hadi miezi 3 bila kujua???

Msaada: Ni kweli mwanamke anaweza akawa na mimba hadi miezi 3 bila kujua???

Youbettersleep

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2019
Posts
944
Reaction score
1,628
Naombeni elimu hapa ndugu zangu” hivi inawezekana mwanamke akawa na Mimba mpka ikafika miezi mitatu na asiwe anajua”???

Kwa hili nimechoka akili.
 
Naombeni elimu hapa ndugu zangu” hivi inawezekana mwanamke akawa na Mimba mpka ikafika miezi mitatu na asiwe anajua”???

Kwa hili nimechoka akili.
Ndiyo. Kuna mimba zinaitwa “cryptic pregnancies”, hizi zinaweza kugundulika baadaye sana.
 
Ukiwa unakwepa kuzaa kwa hiyari, basi mwenzio atakushtukiza kwa mimba ambayo kwa muda huo hutaweza kulazima aitoe.
 
Back
Top Bottom