Doo so sisi wa azam imekula kwetu.Pole sana, kwa Azam hawaoneshi mechi zote. Kupitia ZBC2 utaweza kuona mechi sita tu. Mechi tatu zimeoneshwa, leo wataonesha mechi moja kishs itabakia mechi mbili tu ya jumamosi na ya jumatano. Mechi zote zinarushwa kwa dstv na startimes
Wa Azam inabakia tu kujifariji na Caf champions league, Caf confederation cup, na ligi kuu ya vodacomDoo so sisi wa azam imekula kwetu.
Hzo zenyewe mpk uunge kifurushi cha juu zaidi na sio hiki cha bomba.Wa Azam inabakia tu kujifariji na Caf champions league, Caf confederation cup, na ligi kuu ya vodacom
Sure!Zbc 2 wanaonyesha za saa 4 tu, za saa 10 na saa 1 labda niwaulize wenzangu. Tena saa 4 hiyo sometimes hawaonyeshi kabisa. Game ya italy jana hawakuonyesha. Bora waache tu kuonyesha kama ni hivyo
Hzo zenyewe mpk uunge kifurushi cha juu zaidi na sio hiki cha bomba.
Tupe link mkuuAcha niendelee kucheki kwenye simu mb 500 mpaka 700 kwa game moja
Wa Azam inabakia tu kujifariji na Caf champions league, Caf confederation cup, na ligi kuu ya vodacom
Poa mkuu...play store au?Hesgoal
Kupitia source ipi mkuuAcha niendelee kucheki kwenye simu mb 500 mpaka 700 kwa game moja
TBC wamepewa ngapi ?Azam mjanja hataki gharama za kununua mechi zote kama dstv ama espn anatumia zbc2 kupewa mechi kiurahisi... zbc inasomeka kama tv ya taifa zanzibar.. azam anatumia mbinu ya kupewa mechi kama tv ya taifa.. sasa mara nyingi tv ya taifa haipewi mechi zotee.. unapewa chache tu
Hesgoal.comKupitia source ipi mkuu
Asante mkuuHesgoal.com