Msaada: Ni chaneli gani zinazoonesha Euro kupitia king'amuzi cha Azam?

Kuna taratibu zake za kupewa.. sio buree kabisa kuna gharama unalipishwa ila ndogo tofauti na tvs za pay tv.. jiulize kwa nini ligi ya bongo inaoneshwa na azam sports channel.. ila caf champions league zinaoneshwa na zbc2 only.... na timu za Tanzania zikitolewa tu caf inaishia hapo hapo.. mfano nusu fainali simba hayupo.. utaona kama azam ataonesha mechi.. ila dstv yeye anaonesha kila mechi bila kujali timuza nchi gani
Hapana mkuu hata zikitolewa timu za tanzania, bado ZBC2 itaendelea kuonesha mashindano ya CAF champions league na CAF confederation kama kawaida mpaka fainali. Kumbuka msimu uliopita na pia hata msimu huu tayari waneshatoa tangazo za mechi zinazofuata kati Es Tunis dhidi ya Al Ahly siku ya jumamosi.
 
Hapana mkuu hata zikitolewa timu za tanzania, bado ZBC2 itaendelea kuonesha mashindano ya CAF champions league na CAF confederation kama kawaida mpaka fainali. Kumbuka msimu uliopita na pia hata msimu huu tayari waneshatoa tangazo za mechi zinazofuata kati Es Tunis dhidi ya Al Ahly siku ya jumamosi.

Okay.. why caf zinawekwa zbc 2 wakati kuna special channel za sports.. kama azam sports
 
Tangu Euro ianze naona mechi zote kupitia FTA channels. MaDish ya dstv na Azam ndio nayatumia kwenye smart TV yenye inbuilt decoder. Ving'amuzi vyao nimeweka kabatini kwanza
 
Ipo playstore au Google mkuu?
Hii hapa ipo play store
Screenshot_20210618-232719.jpg
 
Tangu Euro ianze naona mechi zote kupitia FTA channels. MaDish ya dstv na Azam ndio nayatumia kwenye smart TV yenye inbuilt decoder. Ving'amuzi vyao nimeweka kabatini kwanza
Unafanyaje fanyaje maana mimi nilishindwa naambiwa insert CAM card
 
Unafanyaje fanyaje maana mimi nilishindwa naambiwa insert CAM card
Elimu tafadhali

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app

Unafanyaje fanyaje maana mimi nilishindwa naambiwa insert CAM card

Unachotakiwa kuwa nacho ni FTA Decoder ambazo hukamata channels za bure toka satellite mbalimbali zilizopo angani au unaweza pia kuwa na TV yenye decoder ndani ( Inbuilt decoder). Flat smart TV nyingi sasa hivi zina hicho kisimbuzi cha ndani ya tv, ila wachache huweza kung'amua.

Tafuta dish aidha ya prime focus/Ku-band (yanayotumiwa na kampuni za tv za malipo kama Azam, Dstv,Startimes, likiwa kubwa/Pana Ni vizuri zaidi) au yale ya offset. Kisha angalia uwepo wa mawimbi ya satellite yaliyopatikana katika eneo unaloishi. Kwa mfano Kanda ya ziwa, baadhi ya mikoa ya Katavi,Rukwa,Tabora,Kigoma,Shinyanga wanaweza kunasa kwa kutumia dish la cm 60 (yale ya Dstv au Azam saizi ya kati au kubwa)kupitia satellites za Astra 28.2 East ambazo mawimbi yake yanafika mikoa hiyo. Humo kuna tv za Joy prime na Adom wanaonyesha. Kule Nyanda za juu kusini wanaweza kukamata Eutelsat 16°.


Kwa elimu zaidi pitia huu uzi
 
Unachotakiwa kuwa nacho ni FTA Decoder ambazo hukamata channels za bure toka satellite mbalimbali zilizopo angani au unaweza pia kuwa na TV yenye decoder ndani ( Inbuilt decoder). Flat smart TV nyingi sasa hivi zina hicho kisimbuzi cha ndani ya tv, ila wachache huweza kung'amua.

Tafuta dish aidha ya prime focus/Ku-band (yanayotumiwa na kampuni za tv za malipo kama Azam, Dstv,Startimes, likiwa kubwa/Pana Ni vizuri zaidi) au yale ya offset. Kisha angalia uwepo wa mawimbi ya satellite yaliyopatikana katika eneo unaloishi. Kwa mfano Kanda ya ziwa, baadhi ya mikoa ya Katavi,Rukwa,Tabora,Kigoma,Shinyanga wanaweza kunasa kwa kutumia dish la cm 60 (yale ya Dstv au Azam saizi ya kati au kubwa)kupitia satellites za Astra 28.2 East ambazo mawimbi yake yanafika mikoa hiyo. Humo kuna tv za Joy prime na Adom wanaonyesha. Kule Nyanda za juu kusini wanaweza kukamata Eutelsat 16°.


Kwa elimu zaidi pitia huu uzi
Tv inayo built in decorder ila channel kwenye list ni za startimes na pia zimekuwa scrambled naambiwa mpaka niwe na cam card. Au kila kampuni inatengeza aina yake ya decoder?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom