Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,097
- 8,279
Habari jukwaa la afya natumai mpo salama ndugu zanguni,
Naomba kufahamishwa hii kitu,
Jana bibie nikimaanisha Shemeji/wifi yenu kanipigia simu kanieleza anatatizo, anapata choo kikiwa na damu Sasa Leo kaenda kituo Cha afya kupima na matokeo ya vipimo, wanasema ni UTI sugu ambayo akichelewa kutibiwa itakula kizazi.
Mmmmh kwanza imenishtua Sana maana ana bima ila hawajampa dawa wamemwandikia tu Hizo dawa ambazo gharama yake ni Tsh 20,000.
Sasa hapa nipo njia panda ndio maana nimekuja humu kuuliza Hilo tatizo la kupata choo Cha damu na UTI vina uhusiano Gani
Wandugu.
Msaada wa ushauri tafadhari maana nahisi ni mwendelezo wa vituo vya afya makanjanja kubambikiza ugonjwa Kwa Watu Ili wapige Hela maana ishakua Kamchezo now.
Msaada tafadhari!
🙏🙏🙏
Naomba kufahamishwa hii kitu,
Jana bibie nikimaanisha Shemeji/wifi yenu kanipigia simu kanieleza anatatizo, anapata choo kikiwa na damu Sasa Leo kaenda kituo Cha afya kupima na matokeo ya vipimo, wanasema ni UTI sugu ambayo akichelewa kutibiwa itakula kizazi.
Mmmmh kwanza imenishtua Sana maana ana bima ila hawajampa dawa wamemwandikia tu Hizo dawa ambazo gharama yake ni Tsh 20,000.
Sasa hapa nipo njia panda ndio maana nimekuja humu kuuliza Hilo tatizo la kupata choo Cha damu na UTI vina uhusiano Gani
Wandugu.
Msaada wa ushauri tafadhari maana nahisi ni mwendelezo wa vituo vya afya makanjanja kubambikiza ugonjwa Kwa Watu Ili wapige Hela maana ishakua Kamchezo now.
Msaada tafadhari!
🙏🙏🙏