ukipitia vipengele vyote
zanzibar inatambulika kama jamhuri ya watu wa zanzibar
tanganyika inatambulika kama jamhuri ya tanganyika
swali ni kwamba mbona tanganyika aijitambulishi kama jamhuri ya WATU wa tanganyika?
nini kimejificha hapo?
au zanzibar ni mali ya wanzanzibari na tanganyika ni mali yetu sote?
au hapa ndo pamejificha hoja ya mtanganyika hutaruhusiwa kuwa na ardhi zanzibar?
kwa nini moja iwe jamhuri ya watu na nyingine iwe jamhuri inayoelea?
Naombeni hoja zenu wakuu
zanzibar inatambulika kama jamhuri ya watu wa zanzibar
tanganyika inatambulika kama jamhuri ya tanganyika
swali ni kwamba mbona tanganyika aijitambulishi kama jamhuri ya WATU wa tanganyika?
nini kimejificha hapo?
au zanzibar ni mali ya wanzanzibari na tanganyika ni mali yetu sote?
au hapa ndo pamejificha hoja ya mtanganyika hutaruhusiwa kuwa na ardhi zanzibar?
kwa nini moja iwe jamhuri ya watu na nyingine iwe jamhuri inayoelea?
Naombeni hoja zenu wakuu