<br />Duh namshauri akakomae aachane na SUA nenda huko mzumbe m2 aliyekamua sayansi unakomaa sehemu yoyote ile mwana hapo utatoka tuu.achana na kilimo kwanza.
<br />Eti waungwana,kuna dogo huku kitaa kapata chuo Mzumbe bt coz haielew elewi,ye alisoma pCB na matokeo yake ni dv 1 pts 9,anaulza ka anaweza kuhama chuo to Sua kupiga veterinary medicine?
<br /><br /><br />
<br /><br />
mwaka jana kuna mshkaj wangu alikuwa anataka Mipango akapangiwa Ustawi Jamii hapa dar, alifanya mishe akapata Mipango, japo mkopo ulichelewa ila alipata. Veternary medicine ipo fresh mi nilisoma sua.
<br /><br /><br />
<br /><br />
na hzo mishe znapigiwa tcu au chuo husika?