Mr Surplus Economy
Senior Member
- Mar 19, 2018
- 173
- 161
Wakubwa habari za mida hii.... Sasa iko hivi kuna Kampuni moja hivi ya huko ughaibuni niliapply kwa kazi ya kuwa agent wao nchini tz
Sasa wamenipa task ya kufatilia vitu vifuatavyo hapo chini. Shida yangu kubwa ni kwenye kuhusu custom duties/regulations hapo ndio sielewi yaani bila shaka wanahitaji kufahamu taratibu za Bandarini kuhusu bidhaa si ndio.
Sasa kwa hapo niwaelezeje ndugu zangu hebu fanyeni msaada tutani hapo natanguliza shukurani ndugu zanguni.
Sasa wamenipa task ya kufatilia vitu vifuatavyo hapo chini. Shida yangu kubwa ni kwenye kuhusu custom duties/regulations hapo ndio sielewi yaani bila shaka wanahitaji kufahamu taratibu za Bandarini kuhusu bidhaa si ndio.
Sasa kwa hapo niwaelezeje ndugu zangu hebu fanyeni msaada tutani hapo natanguliza shukurani ndugu zanguni.