Msaada, naweza pata BP muda si mrefu

Kuna kitu umeficha hapa.

Sema ukweli kuna yoyote ambaye umemfanyia ubaya na unahisi labda atakurudishia kisasi?? Wake zako unawaamini kwa asilimia ngapi? Vipi hauna siri uliyoitunza kuhusu mali zako au chochote unachohisi labda kimejulikana?
 
Kati ya hao watoto wa 5 mmoja tuu ndio wa kwako. Wa mke wa kwanza. Hao wengine umesaidiwa, ukilala kwa bimkubwa bimdogo anatulizwa na mwingine, ukihamia kwa bimdogo, bimkubwa anaingiza kibenten.

Tena na vile uwezo wako chumbani umeanza kupungua sijui itakuwaje maana lazima upate BP
Sio vizuri ivooo unataka mtoa mada afe?
 
Duh!pole sana mkuu,unajua nilikuwa nafikiria nipo mwenyewe kumbe tupo wengi,hapa wengi wanacomment kwa mzaha na kutokana na uwezo wao wa kufikiri...lakin haya mambo yapo,binfsi napitia sasa hiv hali kama yako,(tena yangu inaweza ikawa mbaya zaidi)afadhali wewe unamaisha hayo,(i have nothing) na napambana na hii hali,asikudanganye mtu kitu kikubwa ni ibada,jitahidi sana kufanya ibada kwa dini yako(kama mwslam swal sana na kama mkristo usisubiri jumapil kwa jumapil)...mimi kwa kufanya ibada kidogo naona nafuu
 
Nichek na email yako kuna vitabu nitakupa vitakusaidia,pia kama upo twitter ni vyema zaid,mana naweka pia kule vitabu vya aina hii.
Ahsante lakin pole pia.
Habari wadau
Kama mada inavyoeleza
Kwa kifupi, at this age 45+ nimeajiriwa sekta binafsi (kampuni ya mawasiliano), nina wake 2 (wote ni waajiriwa wa serikali) na watoto 5 (mdogo kabisa ana miaka 5). Maisha yanakwenda poa tu kwa hali ya kitanzania. Ninaishi kwangu, na nina nyumba nyingine 4 sehemu mbalimbali Tanzania
Changamoto niliyonayo ni hofu. Yaani hata sijui ninaogopa nini?! Lakini nimejawa ha hofu kiasi kwamba kuna time nakosa kabisa usingizi. Nimejaribu kusoma vitabu, makala, na majarida yanayoeleza fear, anxiety, and worries lakini naona sipati ufumbuzi.
Wakuu msaada nifanye nini? Nimeongea na wake zangu mmoja mmoja na wote kwa pamoja maana ilifikia time sifikii ule "uwezo wangu chumbani". Lakini sielewi aisee. I am real worried naweza pata pressure au sukari soon - Mungu aniepushie mabalaa haya
Nawasilisha
 
wake wawili tu ndilo tatizo.... ukilala kwa mkubwa unahofia mdogo analiwa.... TENA WANAUME WENGINE WANAKULAGA KOTEKOTE. pAMBANA NA HALI YAKO.

Wote wanakaa compound moja mkuu, kwahiyo hiyo hofu huwa sina kabisa
 
Nichek na email yako kuna vitabu nitakupa vitakusaidia,pia kama upo twitter ni vyema zaid,mana naweka pia kule vitabu vya aina hii.
Ahsante lakin pole pia.

Nimekutupia e-mail inbobo mkuu
 
Ni kama vile kuwa na hela nyingi sana ,kuna wanaopata hiyo hali....

Daah, mkuu umasikini ndo unaletaga kiholo, naamini kuwa na tusenti ni baraka, sasa inaletaje tena haya mahofu mashaka na wasiwasi?
 
Habari wadau
Kama mada inavyoeleza
Kwa kifupi, at this age 45+ nimeajiriwa sekta binafsi (kampuni ya mawasiliano), nina wake 2 (wote ni waajiriwa wa serikali) na watoto 5 (mdogo kabisa ana miaka 5). Maisha yanakwenda poa tu kwa hali ya kitanzania. Ninaishi kwangu, na nina nyumba nyingine 4 sehemu mbalimbali Tanzania
Changamoto niliyonayo ni hofu. Yaani hata sijui ninaogopa nini?! Lakini nimejawa ha hofu kiasi kwamba kuna time nakosa kabisa usingizi. Nimejaribu kusoma vitabu, makala, na majarida yanayoeleza fear, anxiety, and worries lakini naona sipati ufumbuzi.
Wakuu msaada nifanye nini? Nimeongea na wake zangu mmoja mmoja na wote kwa pamoja maana ilifikia time sifikii ule "uwezo wangu chumbani". Lakini sielewi aisee. I am real worried naweza pata pressure au sukari soon - Mungu aniepushie mabalaa haya
Nawasilisha
hiyo hofu unakuwa unawaza nini mkuu?
 
hiyo hofu unakuwa unawaza nini mkuu?

Kwanza nahofia kama kuna kitu ninamiss hivi (internally i feel so empty), najisikia kama nipo lonely, nakuwa nahisi kama kuna jambo baya linaweza kutokea.
Usiku nikilala mara nyingi naota nipo kwenye milima, majabali, au makorongoni
hivyo yaani
 
Daah, mkuu umasikini ndo unaletaga kiholo, naamini kuwa na tusenti ni baraka, sasa inaletaje tena haya mahofu mashaka na wasiwasi?
Mambo ni mengi sana kwao na muda ni mchache,kwahiyo mara nyingi wanajikuta ni watu wenye mashaka sana na kufilisika,ndio maana wengi unakuta wanajiingiza kwenye madawa ya usingizi au kutumia hata drugs ili waweze kuwa vizuri...
 
Duh!pole sana mkuu,unajua nilikuwa nafikiria nipo mwenyewe kumbe tupo wengi,hapa wengi wanacomment kwa mzaha na kutokana na uwezo wao wa kufikiri...lakin haya mambo yapo,binfsi napitia sasa hiv hali kama yako,(tena yangu inaweza ikawa mbaya zaidi)afadhali wewe unamaisha hayo,(i have nothing) na napambana na hii hali,asikudanganye mtu kitu kikubwa ni ibada,jitahidi sana kufanya ibada kwa dini yako(kama mwslam swal sana na kama mkristo usisubiri jumapil kwa jumapil)...mimi kwa kufanya ibada kidogo naona nafuu

Mkuu asante sana kwa kufunguka, miye pia nilikuwa nadhani nipo mwenyewe na wengine wako safi. Lakini sasa naona nakoelekea siko kabisa, so nikaona ngoja niombe msaada.
Watu wa JF ndo walivyo mkuu, kwahiyo hapa unachambua tu kinachokufaa unachukua, wenye utani wao unawashukuru pia na maisha yanaendelea.
Natamani sana kufanya ibada, lakini nakosa kabisa utulivu ndani. na nakuwa na destructions kibao. mawazo mengine kabisa yanakuja na kujaa ndani wakati wa swala.
Mungu ni mwema lakini, atanipigania inshaalah
 
Unawaza mambo ya urithi zaidi maana inaonyeaha mke mkubwa ameanza kusumbua sema hapa hajalizungumzia
 
Wakuu msaada nifanye nini? Nimeongea na wake zangu mmoja mmoja na wote kwa pamoja maana ilifikia time sifikii ule "uwezo wangu chumbani". Lakini sielewi aisee. I am real worried naweza pata pressure au sukari soon - Mungu aniepushie mabalaa haya
Nawasilisha
[/QUOTE]
Nadhani hasa shida iko hapo kwenye bold ndipo palipokuletea hiyo yote; umeanza kujihi kwamba "ume expire" that's the problem, unatakiwa kuonana na mtaalamu wa saikolojia ili ujue anakusaidiaje but still wewe ndio muhusika mkuu wa kuweza kulitatua hilo tatizo.
 
Back
Top Bottom