bhikola
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,130
- 1,660
Habari wadau,
Kama mada inavyoeleza
Kwa kifupi, at this age 45+ nimeajiriwa sekta binafsi (kampuni ya mawasiliano), nina wake 2 (wote ni waajiriwa wa serikali) na watoto 5 (mdogo kabisa ana miaka 5). Maisha yanakwenda poa tu kwa hali ya kitanzania. Ninaishi kwangu, na nina nyumba nyingine 4 sehemu mbalimbali Tanzania
Changamoto niliyonayo ni hofu. Yaani hata sijui ninaogopa nini?! Lakini nimejawa ha hofu kiasi kwamba kuna time nakosa kabisa usingizi. Nimejaribu kusoma vitabu, makala, na majarida yanayoeleza fear, anxiety, and worries lakini naona sipati ufumbuzi.
Wakuu msaada nifanye nini? Nimeongea na wake zangu mmoja mmoja na wote kwa pamoja maana ilifikia time sifikii ule "uwezo wangu chumbani". Lakini sielewi aisee. I am real worried naweza pata pressure au sukari soon - Mungu aniepushie mabalaa haya
Nawasilisha
Kama mada inavyoeleza
Kwa kifupi, at this age 45+ nimeajiriwa sekta binafsi (kampuni ya mawasiliano), nina wake 2 (wote ni waajiriwa wa serikali) na watoto 5 (mdogo kabisa ana miaka 5). Maisha yanakwenda poa tu kwa hali ya kitanzania. Ninaishi kwangu, na nina nyumba nyingine 4 sehemu mbalimbali Tanzania
Changamoto niliyonayo ni hofu. Yaani hata sijui ninaogopa nini?! Lakini nimejawa ha hofu kiasi kwamba kuna time nakosa kabisa usingizi. Nimejaribu kusoma vitabu, makala, na majarida yanayoeleza fear, anxiety, and worries lakini naona sipati ufumbuzi.
Wakuu msaada nifanye nini? Nimeongea na wake zangu mmoja mmoja na wote kwa pamoja maana ilifikia time sifikii ule "uwezo wangu chumbani". Lakini sielewi aisee. I am real worried naweza pata pressure au sukari soon - Mungu aniepushie mabalaa haya
Nawasilisha