Msaada: Nauli na taratibu za kwenda Kenya kutoka Tanzania

SEASON 5

JF-Expert Member
Sep 28, 2020
481
1,000
Habari zenu ndugu zangu, nilikua naomba mwenye ufahamu wa taratibu za kufata za mtu kutoka Dar kwenda Nairobi ni mahitaji gani yanahitajika ili niweze fanikisha safari yangu.

Nauli ni kiasi gani? Nategemea kusafiri na watoto wangu wawili mapacha kwahiyo sitokuwa mwenyewe.

Watoto wana miaka mi 4, naenda tu kwa ziara fupi ya wiki mbili kisha nitarudi siendi kwa makazi ya moja kwa moja.

Nakaribisha mawazo yenu na ushauri.
 
Mkuu kwanza passport watoto wawe wameandikwa unasafiri nao kwenye passport, yellow fever card muwe Nazo, passport, nauli ni roughly 30,000 maximum.
 
Nenda uhamiaji utapata hati ya muda mfupi ya kusafiria. Baada ya hapo kama unaenda na Bus, nenda Ubungo zipo bus from Dar to Nairobi, nauli haiwezi kupungua elfu 50 but utapata uhakika hapo Ubungo. Kama ni usafiri private ingekuwa mimi ningepasulia Himo, Taveta mpaka naibukia Mombasa. Then baada ya kula bata Mombasa ndiyo ningenyoosha kuitafuta Nairobi, jiji la maraha. Kwenye kurudi narudia Namanga, Arusha.... Home again. Bajeti inategemea na aina ya matanuzi utakayo but not less than 3 milion.
 
Nenda uhamiaji utapata hati ya muda mfupi ya kusafiria. Baada ya hapo kama unaenda na Bus, nenda Ubungo zipo bus from Dar to Nairobi,nauli haiwezi kupungua elfu 50 but utapata uhakika hapo Ubungo. Kama ni usafiri private ingekuwa mimi ningepasulia Himo, Taveta mpaka naibukia Mombasa. Then baada ya kula bata Mombasa ndiyo ningenyoosha kuitafuta Nairobi, jiji la maraha. Kwenye kurudi narudia Namanga, Arusha.... Home again. Bajeti inategemea na aina ya matanuzi utakayo but not less than 3 milion.
Ni hati tu ya kusafiria mkuu, hamna zaidi?
 
Habari zenu ndugu zangu,nilikua naomba mwenye ufahamu wa taratibu za kufata za mtu kutoka Dar kwenda Nairobi ni mahitaji gani yanahitajika ili niweze fanikisha safari yangu.

Nauli ni kiasi gani? nategemea kusafiri na watoto wangu wawili mapacha kwahiyo sitokua mwenyewe.

Watoto wana miaka mi 4,naenda tu kwa ziara fupi ya wiki mbili kisha nitarudi siendi kwa makazi ya moja kwa moja.

Nakaribisha mawazo yenu na ushauri.
Nauli ni around 60,000/= per sit kufika hadi Nairobi kwa mara yangu ya mwisho nilivyosafiri, sijajua nauli kwa sasa ikoje mimi nipo huku tangu 2019.
Ukifika border Namanga lazima mkaguliwe kuhusu vibali vya kusafiria ( passport and yellow fever) na ukaguzi mwingine wa polisi kama umebeba kitu chochote ambacho hakiruhusiwi na nchi husika ( mfano bangi ni haramu sana huku kenya lakini miraa ni kitu kinachoruhusiwa) hivyo unatakiwa uwe tahadhari sana na hizo taratibu za mipakani.

Kama ww ni mtu wa kusafiri mikoani nadhani unajua gharama za vyakula kwa hotel za njiani sababu ukifika Namanga hakuna tena sehemu mtasimama kula wala kuchimba dawa ( by the way ni umbali wa takribani masaa matatu from Namanga to Nairobi)
Kwa upande wa maisha hapa Nairobi ni expensive so hiyo inabidi ujipange haswa, pia nakushauri ubadili pesa ukifika Namanga( hapo ndani ya migration office upande wa kenya kuna mahali pa kubadilishia fedha zako) ili usipate usumbufu sababu mtafika usiku na huduma nyingi zinakua zimefungwa hasa za kibenki

La mwisho karibu sana Nairobi, ujionee matatu ( daladala) zilivyorembwa kwa ustadi huku zikinakshiwa na makelele za gengetone na reggae mix usishangae kuona dereva wa matatu anakula mkoka( miraa) asubuhi huku akiendesha gari tena mbele ya polisi
 
mkuu kama nahtaji paspot naweza kwenda kuipata wapi?

Halafu yellow fever card nayo niki ihitaji naipata wapi?

Upatikanaji wa vyote hivyo huchukua muda gani mkuu?
Uhamiaji passport ya karatasi ile ya muda mfupi ni siku moja unaipata, hati ya muda mfupi haipo waliondoa nadhani ile ya wiki mbili, yellow fever kachomee mpakani huko Kenya ni cheap kama 10,000/ ya Tanzania maana Tanzania hawakuulizi utaulizwa Kenya yellow fever card, Nitakupm namba ya dada mmoja nafahamu yupo immigration atakusaidia. Usimpe pesa nitakupa maelekezo atakusaidia bure.
 
Nauli ni around 60,000/= per sit kufika hadi Nairobi kwa mara yangu ya mwisho nilivyosafiri sijajua nauli kwa sasa ikoje mm nipo huku tangu 2019.
Ukifika border Namanga lazima mkaguliwe kuhusu vibali vya kusafiria ( passport and yellow fever) na ukaguzi mwingine wa polisi kama umebeba kitu chochote ambacho hakiruhusiwi na nchi husika ( mfano bangi ni haramu sana huku kenya lakini miraa ni kitu kinachoruhusiwa) hivyo unatakiwa uwe tahadhari sana na hizo taratibu za mipakani.
Kama ww ni mtu wa kusafiri mikoani nadhani unajua gharama za vyakula kwa hotel za njiani sababu ukifika Namanga hakuna tena sehemu mtasimama kula wala kuchimba dawa ( by the way ni umbali wa takribani masaa matatu from Namanga to Nairobi)
Kwa upande wa maisha hapa Nairobi ni expensive so hiyo inabidi ujipange haswa, pia nakushauri ubadili pesa ukifika Namanga( hapo ndani ya migration office upande wa kenya kuna mahali pa kubadilishia fedha zako) ili usipate usumbufu sababu mtafika usiku na huduma nyingi zinakua zimefungwa hasa za kibenki
La mwisho karibu sana Nairobi, ujionee matatu ( daladala) zilivyorembwa kwa ustadi huku zikinakshiwa na makelele za gengetone na reggae mix usishangae kuona dereva wa matatu anakula mkoka( miraa) asubuhi huku akiendesha gari tena mbele ya polisi
Ni kweli Mimi nilimpa nauli ya Dar Mombasa
Asibadilishe pesa kwa watu wanaobadilisha pesa barabarani wanaokuja hadi ndani ya bus.easy way pesa zikiwa dollar ni njema zaidi.
 
Uhamiaji passport ya karatasi ile ya mda mfupi ni siku moja unaipata,hati ya mda mfupi haipo waliondoa nadhani ile ya wiki mbli,yellow fever kachomee mpakani huko Kenya ni cheap kama 10,000/ ya Tanzania maana Tanzania hawakuulizi utailizwa Kenya yellow fever card, Nitakupm namba ya dada mmoja nafahamu yupo immigration atakusaidia.Usimpe pesa nitakupa maelekezo atakusaidia bure.
Asante mkuuu, na kama natumia bus na sina yellow fever card nitaweza kupita pale mpakani au wakati naenda huwa hamna ukaguzi? Na ni wapi inahitajika hiyo?

Na hii passport ya muda mfupi huwa gharama yake ni kiasi gani mkuu.?
 
Nauli ni around 60,000/= per sit kufika hadi Nairobi kwa mara yangu ya mwisho nilivyosafiri sijajua nauli kwa sasa ikoje mm nipo huku tangu 2019.
Ukifika border Namanga lazima mkaguliwe kuhusu vibali vya kusafiria ( passport and yellow fever) na ukaguzi mwingine wa polisi kama umebeba kitu chochote ambacho hakiruhusiwi na nchi husika ( mfano bangi ni haramu sana huku kenya lakini miraa ni kitu kinachoruhusiwa) hivyo unatakiwa uwe tahadhari sana na hizo taratibu za mipakani.
Kama ww ni mtu wa kusafiri mikoani nadhani unajua gharama za vyakula kwa hotel za njiani sababu ukifika Namanga hakuna tena sehemu mtasimama kula wala kuchimba dawa ( by the way ni umbali wa takribani masaa matatu from Namanga to Nairobi)
Kwa upande wa maisha hapa Nairobi ni expensive so hiyo inabidi ujipange haswa, pia nakushauri ubadili pesa ukifika Namanga( hapo ndani ya migration office upande wa kenya kuna mahali pa kubadilishia fedha zako) ili usipate usumbufu sababu mtafika usiku na huduma nyingi zinakua zimefungwa hasa za kibenki
La mwisho karibu sana Nairobi, ujionee matatu ( daladala) zilivyorembwa kwa ustadi huku zikinakshiwa na makelele za gengetone na reggae mix usishangae kuona dereva wa matatu anakula mkoka( miraa) asubuhi huku akiendesha gari tena mbele ya polisi
Asante zaidi mkuu, kwahiyo natakiwa nipate passport na yellow fever card, paspot nimeshajua kwamba inapatikana uhamiaji, Bado sijajua au sijaelewa kuhusu hii yellow fever naipataje na naipatia wapi na ina gharama kiasi gani?

Halafu kuhusu kubadilisha pesa napo sijapaelewa vizuri, kwahiyo kama nina 100k yangu ya njiani natakiwa kuibadilisha kwa Dollar tangu nipo huku huku Dar au nisafiri nayo mfukoni mpaka sehemu wanapobadilishia?
 
Asante zaidi mkuu,kwahyo natakiwa nipate passport na yellow fever card, paspot nimeshajua kwamba inapatkana uhamiaji, Bado sijajua au sijaelewa kuhusu hii yellow fever naipataje na naipatia wapi na ina gharama kiasi gani?

halafu kuhusu kubadilisha pesa napo sijapaelewa vizuri,kwahyo kama nina 100k yangu ya njiani natakiwa kuibadilisha kwa Dollar tangu nipo huku huku dar au nisafiri nayo mfukoni mpaka sehemu wanapobadilishia?
Yellow fever card utapata hapo migration ya Kenya au ya Tanzania (no fixed price inategemea na ujanja wako unaweza pata kwa bei rahisi kama mkuu kedekede alivyokuambia hapo juu)

Kuhusu mambo na ubadilishaji wa fedha nakushauri ubadilishie hapo migration office ya Kenya ukiingia after kustamp passport yako karibu na exit kuna desk ya kubadilishia fedha wako na currency exchange rates so utacheki kulingana na hiyo siku.
Advantage ya kuchange hapo ni kuwa kwa wakati huo unaingia Kenya tayari hata kama ukipata shida njiani ni rahisi kupata huduma so sikushauri ubadilishie Dar es Salaam sababu hauko sure utafika Kenya (sisemi kwa mabaya nazungumzia misukosuko ya safari njiani kuna kuharibika kwa gari ukiwa upande wa Tanzania) otherwise ubadili pesa nusu ya utakayo kuwa nayo then ukifika border unachange tena.

Kama una maswali mengine usichoke kuuliza mkuu, Karibu sana Kenya.
 
Uhamiaji passport ya karatasi ile ya mda mfupi ni siku moja unaipata,hati ya mda mfupi haipo waliondoa nadhani ile ya wiki mbli,yellow fever kachomee mpakani huko Kenya ni cheap kama 10,000/ ya Tanzania maana Tanzania hawakuulizi utailizwa Kenya yellow fever card, Nitakupm namba ya dada mmoja nafahamu yupo immigration atakusaidia.Usimpe pesa nitakupa maelekezo atakusaidia bure.
Anachomea vipi hapo mpakani hiyo fever na wakati atakuwa kwenye Public Transport.
 
Yellow fever card utapata hapo migration ya kenya au ya Tanzania ( no fixed price inategemea na ujanja wako unaweza pata kwa bei rahisi kama mkuu kedekede alivyokuambia hapo juu)

Kuhusu mambo na ubadilishaji wa fedha nakushauri ubadilishie hapo migration office ya kenya ukiingia after kustamp passport yako karibu na exit kuna desk ya kubadilishia fedha wako na currency exchange rates so utacheki kulingana na hiyo siku.
Advantage ya kuchange hapo ni kuwa kwa wakati huo unaingia kenya tayari hata kama ukipata shida njiani ni rahisi kupata huduma so sikushauri ubadilishie Dar es Salaam sababu hauko sure utafika kenya ( sisemi kwa mabaya nazungumzia misukosuko ya safari njiani kuna kuharibika kwa gari ukiwa upande wa Tanzania) otherwise ubadili pesa nusu ya utakayo kuwa nayo then ukifika border unachange tena.


Kama una maswali mengine usichoke kuuliza mkuu, Karibu sana Kenya.
chanjo ya yellow fever utaipata border kwa 10,000/=
kwahiyo Huku Tanzania mkuuu natoka na pasport yangu tu si ndio mkuu?

Vipi kuhusu wanangu nitakaokuwa nao,je kuna mahtaji mengine ya usafiri nahtaji kuwa nayo? au mimi tu nikiwa na paspot yangu inawabeba na wanangu hawa?
 
Back
Top Bottom