miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 651
Habari zenu wapendwa?
Naombeni ushauri wenu natokewa na vitu usoni vya duara vinakuwa kama vishimo nashindwa hata kuelezea yani vinakuwa Kama vikovu nashindwa kuelewa tatizo ni nini.
Mafuta natumia SONA FACE AND BODY CREAM angalieni kwenye shavu hapo vipo 3 na hapo kwenye paji la uso mtaviona yani vinataka kuwa Kama vishimo vya chunusi lakini siyo.
Naombeni ushauri wenu natokewa na vitu usoni vya duara vinakuwa kama vishimo nashindwa hata kuelezea yani vinakuwa Kama vikovu nashindwa kuelewa tatizo ni nini.
Mafuta natumia SONA FACE AND BODY CREAM angalieni kwenye shavu hapo vipo 3 na hapo kwenye paji la uso mtaviona yani vinataka kuwa Kama vishimo vya chunusi lakini siyo.
Mimi nashindwa kuelezea labda mkiviona mtaelewa vzuri sielewi chanzo ni mafuta ninayopaka au ni nini.