Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Hamjambo jambo!
Nimepata safari ya ghafla, kesho naenda Mambasa, sasa nilikuwa nina mpango wa kuchukua
pistol yangu, naomba msaada wenu wa kisheria, nilikuwa nauliza kuwa kama nitachukua pistol ninaruhusiwa kuingia nayo Mambasa, Leseni ya silaha nimetoa Dar. Au natakiwa nifanye nini kabla sijaenda huko??
Nimepata safari ya ghafla, kesho naenda Mambasa, sasa nilikuwa nina mpango wa kuchukua
pistol yangu, naomba msaada wenu wa kisheria, nilikuwa nauliza kuwa kama nitachukua pistol ninaruhusiwa kuingia nayo Mambasa, Leseni ya silaha nimetoa Dar. Au natakiwa nifanye nini kabla sijaenda huko??