Msaada: Nataka Bus la Dar - Mwanza linalofika mapema zaidi

Msaada: Nataka Bus la Dar - Mwanza linalofika mapema zaidi

Naona wengi mnakomaa Na Ally star Sidhani Kama mna uzoefu sana na hiyo njia, Tanzanite anaikalisha Ally star daily, mimi ni nasafiri Sana wa hiyo njia naongea Kwa uzoefu wa sasa.
Ni kweli Kuna wakati Tanzanite inaingia mapema kuliko Ally's, lakini Mara nyingi Ally's anaingia mapema kuliko Tanzanite. Mimi ni mdau mkubwa wa usafiri hasa route hiyo
List ipo hivi
  • Ally's
  • Tanzanite
  • Zuberi
  • Dar Lux( huyu kuna muda huwa ni namba moja)
  • Happy Nation
 
Habari ya wakati huu wanajukwaa?
Kama kichwa kinavyojieleza, naomba msaada kwa uzoefu wenu. Nimepata safari ya Dar - Mwanza wiki ijayo na natamani kupanda bus ambalo linafika mapema kuliko yote kwani mimi ni muumini wa mwendokasi but wa kistaarabu. Je nipande bus gani?
Hii nayo ni tetesi?
 
Allys star mapema sana ila roho mkononi wanaendesha hovyo sana.
Last week nilisafiri nao nilijuta sema nilifika mapema mwanza.​
 
Kisbo hayupo kwa sasa Dar Mwanza. Achukue Allys, akikosa apande Happy nation au Zuberi au Tanzanite. Nyingine hizo Mwanza ataiona saa 7 usiku.
...Kweli kabisa mkuu, nilikosa ally's star, happy nation, nikapanda zuberi. Jamaa alikuwa anatembea haswaaa but gari ikazingua Singida lakini hao kina ally's, happy nation na tanzanite tuliwasomesha namba sanaaaa
 
...Kweli kabisa mkuu, nilikosa ally's star, happy nation, nikapanda zuberi. Jamaa alikuwa anatembea haswaaa but gari ikazingua Singida lakini hao kina ally's, happy nation na tanzanite tuliwasomesha namba sanaaaa
Zuberi ana Zhongtong ziko vizuri..
 
Habari ya wakati huu wanajukwaa?

Kama kichwa kinavyojieleza, naomba msaada kwa uzoefu wenu. Nimepata safari ya Dar - Mwanza wiki ijayo na natamani kupanda bus ambalo linafika mapema kuliko yote kwani mimi ni muumini wa mwendokasi but wa kistaarabu. Je nipande bus gani?
Panda ndege
 
Kuna basi hata hazikuambii funga mkanda ila route likianza utafunga mwenyewe ukileta kiburi gari likifika kwenye matuta ni mwendo wa up to the air lazima kichwa kikae sawa

Dar lux nawaona wadada wenye magobore kifua walipata shida mda wote ni kurudishia ndani ni hatari
 
Back
Top Bottom