Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,767
Habarini za jioni wakuu, binafsi niko poa kabisa.
Ndugu zangu, naombeni msaada wa namna ya kupata mawasiliano ya wakala wa Kampuni ya Kikuu Kanda ya Ziwa hasa hasa mkoa wa Shinyanga.
Nina mzigo wangu nilinunua ila huu mzigo naona kama umekuwa delivered ila mie niliyenunua sijapokea.
Nataka kuwasiliana nao hawa mawakala ili nianze kufuatilia mzigo wangu.
Natanguliza shukrani wakuu na muwe na jioni njema.
Happy dude
Ndugu zangu, naombeni msaada wa namna ya kupata mawasiliano ya wakala wa Kampuni ya Kikuu Kanda ya Ziwa hasa hasa mkoa wa Shinyanga.
Nina mzigo wangu nilinunua ila huu mzigo naona kama umekuwa delivered ila mie niliyenunua sijapokea.
Nataka kuwasiliana nao hawa mawakala ili nianze kufuatilia mzigo wangu.
Natanguliza shukrani wakuu na muwe na jioni njema.
Happy dude