permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,430
- 15,221
Inawezekana hata Kolomije ina waganga wabobeziHuko kweli penyewe, make nikiwa mwanza vijana /wanaume wa kinyantuzu nawaona nawaona.....
Niunganishe na mmoja hapo
Inawezekana hata Kolomije ina waganga wabobeziHuko kweli penyewe, make nikiwa mwanza vijana /wanaume wa kinyantuzu nawaona nawaona.....
Niunganishe na mmoja hapo
Mpinga kristo ni wewe au yeyeHapana shaka kuwa wewe ni mpinga Kristo(roho ya mpinga Kristo imo ndani yako). Na habari zako tunazo
Njoo Bariadi-Simiyu
Mganga/Waganga wapo sana tu na utafanikiwa hitaji/ombi lako Mkuu.
Uko wapi mkuu?Niunganishe na mmoja wapo
Uko wapi mkuu?
Unataka nikuunganishe kwa mganga anayefanya mambo kama alivyotoa hitaji lake mtoa mada au wewe unahitaji mganga wa uwezo upi?Nipo shinyanga
Unataka nikuunganishe kwa mganga anayefanya mambo kama alivyotoa hitaji lake mtoa mada au wewe unahitaji mganga wa uwezo upi?
Ahaa!!nikuunganishe nae then utamweleza wewe mwenyewe mahitaji yako siyo mkuu?Matatizo ni Mengi
Ahaa!!nikuunganishe nae then utamweleza wewe mwenyewe mahitaji yako siyo mkuu?
Kesho nitaku PM mkuu maana kwa muda huu sina namba yakeYap lakini asiwe mpigaji ni PM namba zake
Kesho nitaku PM mkuu maana kwa muda huu sina namba yake
Mkuu hapo umenenaKuna waganga wazuri kuhusu mambo ya biashara pale UDSM, nenda pale kitengo cha UDEC, watakufundisha vizuri kuanzia business plan na cashflow statement, utapata elimu kubwa na ya maana kuliko za kuchimbia mifupa ya albino, hirizi au kulala makaburini, kila heri..
Husika na kichwa cha habari.,
Mimi ndugu yenu nina matatizo ambayo hayahusiani na hospital (siumwi) ila ni masuala binafsi ya biashara zangu hivyo naomba anayejua mganga anayeweza kuninyooshea mambo fasta anipe maelekezo kwa Pm ntashukuru sana.!
Kama mjuavyo kumekuwa na matangazo mengi kwenye nguzo za umeme kuhusu waganga lakini kwa utafiti mdogo nilioufanya nimegundua hao wengi huwa matapeli tu ila mganga original huwa hajitangazi.
Natumaini haya ni mambo ya kiimani zaidi na humu jukwaani lazima kuna wadau tupeane "mchongo"
Pia niwaombe radhi wale ambao wataingiza habari za dini humu kwani kama dini kila mtu ana dini yake na imani yake na ana uhuru wa kuabudu anachokiamini.!
Hivyo ukiona mada iko tofauti na imani yako pita kimya.!
Ntashukuru kwa mtakaojitahidi kunisaidia walau "direction"
Acha unafikiDooh... sikuwahi kuwaza km bado nguvu za giza zina exit na kufuatwa nchini.....
Sa sijui yaliyopita yamesahaulika... au ndo kupagawa...
Nenda kapoteze pesa ila mi naamin mganga ni mwanasaikolojia mzuur sana... nenda akuchezeshe ubongo ...
Unaamin waganga hadi leo... duh