Msaada natafuta mganga mashuhuri wa jadi

Msaada natafuta mganga mashuhuri wa jadi

Wakati mwingine mue waelewa yeye hajaomba mahubiri kaomba msaada,,,kwani hajui kama kuna yesu? Msijitoe ufaham
nani kahubiri zaidi ya kumpa option nyingine, afu achague mwenyewe.

unaweza ukawa unahitaji kitu fulani lakini mwingine akaja akakwambia hiki mi bora zaidi na ukatumia utashi wako kulinganisha na kufanya uchaguzi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kumpenda mtu usiyemjua ni unafiki.unasema eti kumjua yesu ndo kumefanya biashara yako ijae wateja,kwa muktadha huo basi kina bakhresa,mo na kina mengi wanamjua yesu zaidi kuliko wewe.siungi mkono ushirikina,na pia siungi mkono brainwashing mnayofanyiwa huko madhabahuni.
Ninampenda kwa sababu ninajua kuwa yeye ni mwanadamu mwenzangu , ila kama yeye sio mwanadamu atajua mwenyewe! Hata wewe ninakupenda.

Na ni lazima tuambiane hizi kweli za rohoni ili mtu apotee akiwa ameshaambiwa, asije jitetea kuwa hakuambiwa!
 
Ninampenda kwa sababu ninajua kuwa yeye ni mwanadamu mwenzangu , ila kama yeye sio mwanadamu atajua mwenyewe! Hata wewe ninakupenda.

Na ni lazima tuambiane hizi kweli za rohoni ili mtu apotee akiwa ameshaambiwa, asije jitetea kuwa hakuambiwa!
Sawa mkuu,nakutakia pasaka njema na amani ya bwana iwe nawe.pia ukipata nafasi hebu fanya karesearch kidogo hata mtandaoni kuhusu INDOCRINATION,BRAINWASHING,pitia research papers na vitabu vya bwana segmund freud na Edward bernays
 
Husika na kichwa cha habari.,
Kuna waganga wazuri kuhusu mambo ya biashara pale UDSM, nenda pale kitengo cha UDEC, watakufundisha vizuri kuanzia business plan na cashflow statement, utapata elimu kubwa na ya maana kuliko za kuchimbia mifupa ya albino, hirizi au kulala makaburini, kila heri..
 
Sawa mkuu,nakutakia pasaka njema na amani ya bwana iwe nawe.pia ukipata nafasi hebu fanya karesearch kidogo hata mtandaoni kuhusu INDOCRINATION,BRAINWASHING,pitia research papers na vitabu vya bwana segmund freud na Edward bernays
Sawa mkuu, ila jua kuwa mimi ninaliamini Neno la Mungu (Biblia). Na ndio muongozo wangu. Kama wewe huliamini Neno la Mungu is up to you.!
 
Kabla ya kumjua Yesu nilipata tabu kama wewe biashara zilikuwa hazitoki!! Baada ya kumjua Yesu wateja ni wengi mpaka tunazidiwa kuwahudumia!!
Huyo Yesu wako anakusaidia wewe tu, Mbona wengine huwasaidia?
 
Mtoto ukililia wembe ngoja tukupe
Ni kweli baadhi waganga wa kukuza biashara ni matapeli

Ushauli unaokufaa
Nikushauli ukitaka waganga watakao kufaa wa kukuza biashara zako nenda pale posta,
hao ni wauhakika wanaofisi kubwa sana wamesajiriwa na serikari na shughuri zao ni kukuza biashara na kutajilisha watu
Ukifika pale posta uliza ilipo ofisi ya Freemasonihy uliza kwa madereva wa tax au mtu yeyote atakuonyesha

Hao ni wa uhakika na wana Leseni ya kazi yao hiyo

Nenda hapo ndugu utafanikiwa.
Freemasonry si taasisi ya kuwafanya watu kuwa matajiri, bali kuwafanya kuwa watu bora.


Huwa wanasema "Ask one to be one" Au A12B1.
 
Kuna waganga wazuri kuhusu mambo ya biashara pale UDSM, nenda pale kitengo cha UDEC, watakufundisha vizuri kuanzia business plan na cashflow statement, utapata elimu kubwa na ya maana kuliko za kuchimbia mifupa ya albino, hirizi au kulala makaburini, kila heri..
Hao jamaa wana lecture notes kibao ,business plan imekaa kichwani kimbembe wakiachishwa kazi wanaanza kulia kuhusu ajira wakati mtaji wanao
 
Back
Top Bottom