My hair my crown
JF-Expert Member
- Feb 5, 2016
- 929
- 2,601
umesha muandaa ndugu yako wa kumfanya ndondocha?
mganga pekee ni Yesu, kwanza hana masharti na wala hautatumia pesa . jambo ni moja tu kumfwata na kumkiri.Kabla ya kumjua Yesu nilipata tabu kama wewe biashara zilikuwa hazitoki!! Baada ya kumjua Yesu wateja ni wengi mpaka tunazidiwa kuwahudumia!!
Nnaijua dini pengine kuliko hata wewe.!Siwezi kupita kimya kwa sababu ninakupenda na sitaki uendelee kuamini katika GIZA. Kwanini umwamini shetani ambaye hatima yake ni moto wa milele yeye pamoja na wafuasi wake? Mungu anakupenda ndugu yangu ña anataka umfuate Yeye ili uwe na uhakika wa maisha haya na yale yaliyo ya baada ya haya yaani UZIMA WA MILELE. Njoo kwa Yesu akuweke huru! uondokane na utumwa wa ki- ibilisi.
kwahiyo umeamua bora uhamie kwa waganga???? hata Yesu alisema kuna manabii wa uongo, ni vyema kuomba Roho mtakatifu akuonyeshe wapi ni sahihi. lakini kukimbilia kwa waganga ni kupotea kabisa.Nnaijua dini pengine kuliko hata wewe.!
Sema hujui kilicho nyuma ya hayo makanisa unayoyaamini ila siku ukipata ufahamu utajua namaanisha nini..
We ungejua nilikotoka mpaka kufika hapa nilipo.!
Ngoja niishie hapo.
kwahiyo umeamua bora uhamie kwa waganga???? hata Yesu alisema kuna manabii wa uongo, ni vyema kuomba Roho mtakatifu akuonyeshe wapi ni sahihi. lakini kukimbilia kwa waganga ni kupotea kabisa.
Unaweza ukaijua dini lakini si Mungu. Dini ni taratibu walizojianzishia wanadamu kujaribu kumtafuta Mungu.Nnaijua dini pengine kuliko hata wewe.!
Sema hujui kilicho nyuma ya hayo makanisa unayoyaamini ila siku ukipata ufahamu utajua namaanisha nini..
We ungejua nilikotoka mpaka kufika hapa nilipo.!
Ngoja niishie hapo.
Endelea kuwaamini hao manabii wako na kuwatajirisha ukiamini wapo ili kukuokoa.!kwahiyo umeamua bora uhamie kwa waganga???? hata Yesu alisema kuna manabii wa uongo, ni vyema kuomba Roho mtakatifu akuonyeshe wapi ni sahihi. lakini kukimbilia kwa waganga ni kupotea kabisa.
Kumpenda mtu usiyemjua ni unafiki.unasema eti kumjua yesu ndo kumefanya biashara yako ijae wateja,kwa muktadha huo basi kina bakhresa,mo na kina mengi wanamjua yesu zaidi kuliko wewe.siungi mkono ushirikina,na pia siungi mkono brainwashing mnayofanyiwa huko madhabahuni.Siwezi kupita kimya kwa sababu ninakupenda na sitaki uendelee kuamini katika GIZA. Kwanini umwamini shetani ambaye hatima yake ni moto wa milele yeye pamoja na wafuasi wake? Mungu anakupenda ndugu yangu ña anataka umfuate Yeye ili uwe na uhakika wa maisha haya na yale yaliyo ya baada ya haya yaani UZIMA WA MILELE. Njoo kwa Yesu akuweke huru! uondokane na utumwa wa ki- ibilisi.
Hao washazoea kutaperiwa na manabii wa uongo, ,,, mkuu kuna mzee mmoja wa kikojani ni noma, ,,,ngojea ntakutafutia namba yake,,,,,hana tamaaEndelea kuwaamini hao manabii wako na kuwatajirisha ukiamini wapo ili kukuokoa.!
Then tuache na imani zetu.
Ulishajiuliza kuna dini ngapi duniani.?
Je wote hutumia biblia au quran.?
Je una vigezo vipi unavyotumia kuwaaminisha dunia nzima kuamini unachokiamini wewe.?
Pole kwa kuwa mtumwa wa mzungu na kudharau dini za asili yako.!
Hapana shaka kuwa wewe ni mpinga Kristo(roho ya mpinga Kristo imo ndani yako). Na habari zako tunazoHakuna kitu kinaitwa kumjua Yesu huo ni utapeli of the other side of the coin. mleta thread endelea utafanikiwa tu bora imani .
eti dini ya mzungu, kwani wazungu hawana waganga?????Endelea kuwaamini hao manabii wako na kuwatajirisha ukiamini wapo ili kukuokoa.!
Then tuache na imani zetu.
Ulishajiuliza kuna dini ngapi duniani.?
Je wote hutumia biblia au quran.?
Je una vigezo vipi unavyotumia kuwaaminisha dunia nzima kuamini unachokiamini wewe.?
Pole kwa kuwa mtumwa wa mzungu na kudharau dini za asili yako.!