Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,776
Fala wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii sasa roho mbaya.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
yupo mkuu mpigie ni mtu fresh sana kawasaidia wengi humuHuyu jamaa mwenye number bado yupo
VIP WEWE MWENYE DINI NA IMANI KALI , UNAMILIKI RANGE ROVER NGAPI,someni dua zipo chungu nzima kwenye vitabu vya imani...dua sahihi ina nguvu mara 100 ya uganga na uchawi.. Tatizo hatuna kisomo cha dini..
namiliki nywele na kucha zangu + biblia + quran hivyo tuu😱😱😱😱😱VIP WEWE MWENYE DINI NA IMANI KALI , UNAMILIKI RANGE ROVER NGAPI,
Huyu jamaa nilipiga, loh ana maswali mengi sana, vip mkuu me nilitaka arekebishe bizness bhana.0714022953 mpigie huyu jamaa then ukifanikiwa utakuja kunishukuru pm sitaki hata senti tano yako
Unaijua dini, humjui Mungu,Mungu hana dini,Yesu Kristo ndio njia ya kumfikiaNnaijua dini pengine kuliko hata wewe.!
Sema hujui kilicho nyuma ya hayo makanisa unayoyaamini ila siku ukipata ufahamu utajua namaanisha nini..
We ungejua nilikotoka mpaka kufika hapa nilipo.!
Ngoja niishie hapo.
Kwa wakinga sio?Niko iringa njoo nikupeleke makete
muombe mungu atakusaidia mambo hayo ya waganga ni shirk tuHusika na kichwa cha habari.,
Mimi ndugu yenu nina matatizo ambayo hayahusiani na hospital (siumwi) ila ni masuala binafsi ya biashara zangu hivyo naomba anayejua mganga anayeweza kuninyooshea mambo fasta anipe maelekezo kwa Pm ntashukuru sana.!
Kama mjuavyo kumekuwa na matangazo mengi kwenye nguzo za umeme kuhusu waganga lakini kwa utafiti mdogo nilioufanya nimegundua hao wengi huwa matapeli tu ila mganga original huwa hajitangazi.
Natumaini haya ni mambo ya kiimani zaidi na humu jukwaani lazima kuna wadau tupeane "mchongo"
Pia niwaombe radhi wale ambao wataingiza habari za dini humu kwani kama dini kila mtu ana dini yake na imani yake na ana uhuru wa kuabudu anachokiamini.!
Hivyo ukiona mada iko tofauti na imani yako pita kimya.!
Ntashukuru kwa mtakaojitahidi kunisaidia walau "direction"
anasema ulikua unamzingua unajifanya polisi huna shida ungekua serious angekusaidiaHuyu jamaa nilipiga, loh ana maswali mengi sana, vip mkuu me nilitaka arekebishe bizness bhana.