Gyme
New Member
- Mar 1, 2023
- 4
- 16
Habari ndugu zangu, mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24. Ninaomba msaada wenu kama kuna mtu yeyote anaweza kunisaidia nikapata kazi.
Elimu yangu kidato cha sita japo chuo nimesoma Ila niliishia mwaka wa pili.
Msahada wenu jamani, kwa yoyote mwenye connection maisha ni kusaidiana please!
Napatikana Dar es Salaam
NB: Niko tayari kwa kazi yoyote ambayo inampendeza Mungu, ahsanteni.
Elimu yangu kidato cha sita japo chuo nimesoma Ila niliishia mwaka wa pili.
Msahada wenu jamani, kwa yoyote mwenye connection maisha ni kusaidiana please!
Napatikana Dar es Salaam
NB: Niko tayari kwa kazi yoyote ambayo inampendeza Mungu, ahsanteni.